Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Sasa konokono ana tatizo gani?Anayekula kitimoto hashindwi kula konokono hata angekuwa halal nisingekula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa konokono ana tatizo gani?Anayekula kitimoto hashindwi kula konokono hata angekuwa halal nisingekula
Mbona konokono watamu sana ukinyw supu yake na chapati utafurahi. .Sasa konokono ana tatizo gani?
Ndio namshangaa mdau.... Mimi nyama nayoweza kuiacha ni ya Kunguru. Yale makitu nyama yake ina sumu ya hatari. Kuna mlafi mmoja aliponea ICU mamamamae zake...Mbona konokono watamu sana ukinyw supu yake na chapati utafurahi. .
Kunguru ana supu nyeusi ile nyama ni BAD JUJU😂😂 kuna siku nilikuta mwamba Kampasua utumbo wa njanoNdio namshangaa mdau.... Mimi nyama nayoweza kuiacha ni ya Kunguru. Yale makitu nyama yake ina sumu ya hatari. Kuna mlafi mmoja aliponea ICU mamamamae zake...
Umewahi kukutana na mtu ana kifafa cha minyoo ya nguruwe in your life time toka umeanza kuona watu wanakula mdudu? Unamjua hata mtu mmoja kwenye life circle yako anayekula kitimoto na kapata kifafa? Tuanzie hapo………😅Toka nijue unaweza pata kifafa kutoka kwenye minyoo ya nguruwe pale nyama inapokuwa haijaiva na ukweli wengi wanakula nyama ambazo hazijaiva huyu mdudu simtamani hata kidogo.
Zile takataka zinakula vitu vya ajabu . Huyo shujaa kama alimla afu hakukimbizwa hospitali... Kaa mbali naye huyo... Lazima atakuwa anakula nyama za watu. Cheki kama hachezi mbali na makaburi afu uniambieKunguru ana supu nyeusi ile nyama ni BAD JUJU😂😂 kuna siku nilikuta mwamba Kampasua utumbo wa njano
Yani unaitukana mboga kweli??Moja ya uchafu ambao siwezi kula ni kitimoto.
Huyo lazima katoroka MirembeYani unaitukana mboga kweli??
Ndiyo maana wachina wana akili sana. Vyote hivyo wanakulaAnayekula kitimoto hashindwi kula konokono hata angekuwa halal nisingekula
Wasabato tunakula mboga za majani tuMoja ya uchafu ambao siwezi kula ni kitimoto.
Vipi mpaka sasa, umeshamuona mtu aliyepata kifafa kwa hiyo minyoo?Toka nijue unaweza pata kifafa kutoka kwenye minyoo ya nguruwe pale nyama inapokuwa haijaiva na ukweli wengi wanakula nyama ambazo hazijaiva huyu mdudu simtamani hata kidogo.
Ndio hivyo hivyo huwa mnasema! Lakini mwisho wa SIKU huwa ni KITU NA BOSKI.. 😄😄😄Harufu yake tu kwanza nikiihisi utadhani mkojo! Ptuuuu
Watumiaji mniwie radhi kama nitakuwa nimewaudhi ila daaah mna moyo....nguruwe???!!
Uarabuni kuna lundo la watu wenye vifafaToka nijue unaweza pata kifafa kutoka kwenye minyoo ya nguruwe pale nyama inapokuwa haijaiva na ukweli wengi wanakula nyama ambazo hazijaiva huyu mdudu simtamani hata kidogo.
Uchafuu...Acha Nile uchafuu..Kuku Ndio mchafu.Moja ya uchafu ambao siwezi kula ni kitimoto.