PICHA: Nifanyeje ili kuacha Kitimoto kama dini yangu inavyonikataza?

PICHA: Nifanyeje ili kuacha Kitimoto kama dini yangu inavyonikataza?

Mwezi unakaribia supply itapunguwa, yule bana mchemmshr alafu ajikaangee mwenyewe chuja mafuta pikia dagaa
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Acha uandazi na uzwazwa wewe!!! Kula kitu roho yako inataka.

Acha kufuata makatazo ya vitoweo ya waarabu. Kila kabila Lina makatozo yake ya asili ya ama kula nyama Fulani au sehemu Fulani tu ya mnyama.

Makatazo hayo, ni ya kimila tuu na hayahusiani kwa lolote na amri za Mungu.

Watu wamekuwa ,hawali unono ambao kwa kabila lao sio katazo lakini kwa sababu ni katazo la kimila la bwana madevu aliyewaletea Mila zake akaziita dini, mkaacha Kila kitu chenu na mnataka mufuate Mila zake.Gonga mdudu wewe
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Chakula cha waisiharumu icho ni kama ngono tu ni vitu pendwa kwa waisiharamu ...k8ngine kinacho pendwa na waisiharamu wote ni unafiki
 
HAhahahaha kumbe shehe mahamudu na wewe unatumia hii kitu hata ostadhi shabani nae anakulaga bhna ila kimyakimya hata mimi pia natumia huyu mdudu shehe wangu
[emoji1787][emoji1787] chakula pendwa cha shehe Mbowe icho ...mwenyewe anasema baada ya icho kinachofuatia ni kulamba asali ya mama samia na baada ya asali kinyaji chake pendwa anashushia mzinga wa gogo ya konyagi
 
Kwanza tambua wewe sio muislamu ...Tambua unaweza kuwa na jina la kiislamu ila sio muislamu fanya kurebisha Uzi wako usipende kutaja kitu kuleta mtafaruku ..

👇👇Moja ya Uzi wako


Unaonekana ni Yale majamaa yakushinda bar Yana matumbo makubwa ,mazee ya bia na hujielewi...Better ukaendelea kula ila usitaje uislamu kabisa wala hamna tatizo.
 
Epilepsy--- yupo mtu alikuwa anasema in the past two or three,kwamba nyama ya nguruwe inaleta epilepsy. Epilepsy ni kifafa. Watu wengine kijijini huwa wanalalamika, wanasema, unatumia lugha gani hiyo mbane,wengine hatukuelewi.
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

kama imefika wakati unaomba ushauri wa kuacha kula aina flani ya nyama (Kitimoto) huku una uhuru wa kula nyama zingine halali; Inaonekana huna uwezo wowote wa kujisimamia (Self-Discipline) kitu ambacho ni weakness kubwa sana kwani huna msimamo wowote; upo upo tu bora liende......
Jitahidi kufanya maamuzi (wala sisemi magumu kwani hakuna ugumu hapo) tofauti na hapo subiri Dactari atakapo kukatataza kula nyama nyekundu ndio utajua hujui...
 
Wewe ni muongo, nia yako ni kusifia kitimoto na pengine kuudhi baadhi ya waislam.

Hakuna msikiti wowote unaoweza kukutenga sababu ya unachokula unless uende ukalie hapo msikitini, napo pia hutotengwa zaidi ya kufukuzwa kwa wakati huo tu.

Waislam hatuna itikadi ya kuhukumu mtu sababu ya maisha anayoishi na ndio maana hata siku moja hutosikia maiti ya muislam kutoswalia ama kuzikwa sababu marehemu hakuwa akihudhuria msikitini. Hukumu tunamuachia Mungu.

Kuna uwezekano wa kusifiia ukipendacho bila kukarahisha wengine.
Kama wewe umejaaliwa uwezo wa kutohukumu nakupa hongera sana na mshukuru Mungu. Kuna wenzako wanahukumu balaa
 
Back
Top Bottom