PICHA: Nifanyeje ili kuacha Kitimoto kama dini yangu inavyonikataza?

PICHA: Nifanyeje ili kuacha Kitimoto kama dini yangu inavyonikataza?

kwanini uteseke mkuu nenda kanisani ubatizwe ili ule kitimoto kwa raha zako. usimkwaze mtu
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Wewe sio muislamu,usijidanganye.Uislamu,ukienda kinyume makatazo yake,tayari umeshajivua,sio muislamu.Kila mfumo wa maisha una taratibu zake,ni sawa uwe uko chama cha siasa A lakini unatekeleza sera za chama B,automatiki uongozi wa chama A,watakuvua uwanachama.
 
Toka nijue unaweza pata kifafa kutoka kwenye minyoo ya nguruwe pale nyama inapokuwa haijaiva na ukweli wengi wanakula nyama ambazo hazijaiva huyu mdudu simtamani hata kidogo.
na ukila nyama ya ng'ombe isiyoiva vizuri unapata ugonjwa gani doctor?
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Nyama haramu
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Huo mchuzi hapo utolewe umeharibu
 
We kula tu bana kwa kuwa kutokula hakuna effect yoyote popote pale kwenye ulimwengu unaoonekana au usioonekana
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Biashara yangu ya Kitimoto leo imeanza kurudi kuwa nzuri kama hapo awali!
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Hata kwa Waislamu nyama ya nguruwe sio "haramu" hasa kwa kuwa inaruhusiwa kuliwa kama hakuna mbadala. Kitu haramu cho chote huruhusiwi kukigusa. Lakini kwa Uislamu ni halali kula kama hakuna mbadala. Je hiyo tuite ni haramu au ni mgongano wa aya za Qur'ani.
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Wapi wanatengeneza hivi
 
Back
Top Bottom