Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
aleko msalamuSamalekooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aleko msalamuSamalekooo
Wewe sio muislamu,usijidanganye.Uislamu,ukienda kinyume makatazo yake,tayari umeshajivua,sio muislamu.Kila mfumo wa maisha una taratibu zake,ni sawa uwe uko chama cha siasa A lakini unatekeleza sera za chama B,automatiki uongozi wa chama A,watakuvua uwanachama.Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
na ukila nyama ya ng'ombe isiyoiva vizuri unapata ugonjwa gani doctor?Toka nijue unaweza pata kifafa kutoka kwenye minyoo ya nguruwe pale nyama inapokuwa haijaiva na ukweli wengi wanakula nyama ambazo hazijaiva huyu mdudu simtamani hata kidogo.
Kuna magonjwa mengi sana ila ugonjwa flani wa mlipoko unaitwa Rift Valley au homa ya bonde la ufa. .na ukila nyama ya ng'ombe isiyoiva vizuri unapata ugonjwa gani doctor?
Nyama haramuNimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
Huo mchuzi hapo utolewe umeharibuNimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
Amekariri vibaya huyu jamaa!Amekudanganya nani kwamba kila mtu anazikwa ardhini?
Biashara yangu ya Kitimoto leo imeanza kurudi kuwa nzuri kama hapo awali!Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
Hata kwa Waislamu nyama ya nguruwe sio "haramu" hasa kwa kuwa inaruhusiwa kuliwa kama hakuna mbadala. Kitu haramu cho chote huruhusiwi kukigusa. Lakini kwa Uislamu ni halali kula kama hakuna mbadala. Je hiyo tuite ni haramu au ni mgongano wa aya za Qur'ani.Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
Wapi wanatengeneza hiviNimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.