Picha: Nimesikitika sana kuona Naibu Waziri anaenda kuzindua na kupongeza daraja kama hili. Hili daraja limegharimu kiasi gani?

Picha: Nimesikitika sana kuona Naibu Waziri anaenda kuzindua na kupongeza daraja kama hili. Hili daraja limegharimu kiasi gani?

Mambo kama haya yanachafua taswira nzima ya CCM. Na hapo utakuta kamtaja Mama Samia. Kiukweli mimi naona hiyo kama hujuma kwa serikali. TAKUKURU ifuatilie tujue kilichojiri.
 
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
Hizo fedha za msafara wake si zingejenga madaraja kama hayo kadhaa?!🙄🙄🙄
 
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
Watanzania tuko addicted na mediocrity! Hapo siyo kosa la waziri tu, hata hao wanaomsikiliza ni watu mediocre sana
 
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
Wacha ncheke kwanza dah
 
Ndo muandae bajeti kubwa kwenda kupongeza hizo juhudi🥺 ama hakika mbele kwa mbele haijalishi kuna shimo au kiza totoro
Gentleman,
jimboni kwangu wapo wananchi hususan wafanyabiashara wengi tu wenye mapenzi mema na wasio wachoyo wamejitolea kujenga mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na vyumba vya madarasa na maabara, wamejitolea kujenga barabara na madaraja yanayosaidia wanainchi kuondokana na adha mbalimbali za usafiri kwenye vijiji vyao,

ubaya uko wapi kwa viongoz wa Serikali kupongeza na kuunga mkono jitihada hizo za wananchi?🐒
 
Gentleman,
jimboni kwangu wapo wananchi hususan wafanyabiashara wengi tu wenye mapenzi mema na wasio wachoyo wamejitolea kujenga mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na vyumba vya madarasa na maabara, wamejitolea kujenga barabara na madaraja yanayosaidia wanainchi kuondokana na adha mbalimbali za usafiri kwenye vijiji vyao,

ubaya uko wapi kwa viongoz wa Serikali kupongeza na kuunga mkono jitihada hizo za wananchi?🐒
CCM ni ileile ooo ni ileile
 
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
Maajabu ya CCM
 
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
Duh!
 
Mambo kama haya yanachafua taswira nzima ya CCM. Na hapo utakuta kamtaja Mama Samia. Kiukweli mimi naona hiyo kama hujuma kwa serikali. TAKUKURU ifuatilie tujue kilichojiri.
Hujuma ipo wapi hapo?
 
Back
Top Bottom