Chapati Tatu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2024
- 338
- 740
Mbowe Mitano Tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda sana hiiLissu tuvushe Mwamba tupishe.
Umebubujikwa na machozi yale ya ndugu Lucas Mwashambwa ..?View attachment 3203403
===
FREEMAN MBOWE kama kweli wewe ni mwanasiasa lazima ujue kuyatazama matokeo kabla ya Uchaguzi, Hii game umepigwa jiondoe ubaki na heshima yako
Mwamba kahamia chadema kasoma upepohii kubwibwijikwamachozi tumeizoea kwa mwashambwa,na wewe umekuaje mkuu?
au mdio ID mpya ya kuingilia chadema?
Hili swali noma na nusu. Na tumwongezee ataaminika kwa wajumbe wapi na kuwapa malengo yapi tena mr ayatollahSasa atafanya kazi na nani?
HatariView attachment 3203403
===
FREEMAN MBOWE kama kweli wewe ni mwanasiasa lazima ujue kuyatazama matokeo kabla ya Uchaguzi, Hii game umepigwa jiondoe ubaki na heshima yako
Wahuni wacheche wasikuumize kichwa.View attachment 3203403
===
FREEMAN MBOWE kama kweli wewe ni mwanasiasa lazima ujue kuyatazama matokeo kabla ya Uchaguzi, Hii game umepigwa jiondoe ubaki na heshima yako
😂😂Ht mi nimeshangaahii kubwibwijikwamachozi tumeizoea kwa mwashambwa,na wewe umekuaje mkuu?
au mdio ID mpya ya kuingilia chadema?
Mkuu haya ya kweli au picha iko edited?View attachment 3203403
===
FREEMAN MBOWE kama kweli wewe ni mwanasiasa lazima ujue kuyatazama matokeo kabla ya Uchaguzi, Hii game umepigwa jiondoe ubaki na heshima yako
Wangeanza kinyume chake........ "Tumekuchoka japo tunakupendaView attachment 3203403
===
FREEMAN MBOWE kama kweli wewe ni mwanasiasa lazima ujue kuyatazama matokeo kabla ya Uchaguzi, Hii game umepigwa jiondoe ubaki na heshima yako
Col T again: Over and out!John : Sir! Do we get to win this time?
Col Truman: This time it's up to you..
Ameyataka mwenyewe!Mbowe kachokwa mno aisee
Umebubujikwa kama Mwashambwa?Mbowe Mitano Tena.
"...historia yake kwenye siasa za mageuzi Tanzania itaandikwa kwa wino wa Dhahabu lakini kwasasa atupishe..."Freeman Aikael Mbowe