milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
"...historia yake kwenye siasa za mageuzi Tanzania itaandikwa kwa wino wa Dhahabu lakini kwasasa atupishe..."
Tundu Antipas Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"...historia yake kwenye siasa za mageuzi Tanzania itaandikwa kwa wino wa Dhahabu lakini kwasasa atupishe..."
Tundu Antipas Lissu
KWANINI MNAMALZIMISHA AJITOE, WANAOTOA MANENO YA KEJELI HAWANA UTULIVU.
WAPENZI WA MBOWE WAMETULIA TULI. ACHENI BOX LISEME
Kura hukomesha mashindano, box litaongea.
Amka usingizini utajikojolea.Freeman atajitoa na atam support Tundu.
Hizi kelele ni kupima tu kama chama atakiacha salama kwa mtu mwenye ushawishi na kukubalika kwa wanachama? Mwisho wa igizo hili umekaribia.
Photoshoot. Hakukuwa na bango hili.View attachment 3203403
===
FREEMAN MBOWE kama kweli wewe ni mwanasiasa lazima ujue kuyatazama matokeo kabla ya Uchaguzi, Hii game umepigwa jiondoe ubaki na heshima yako
Amka usingizini utajikojolea.
View attachment 3203403
===
FREEMAN MBOWE kama kweli wewe ni mwanasiasa lazima ujue kuyatazama matokeo kabla ya Uchaguzi, Hii game umepigwa jiondoe ubaki na heshima yako
Very poor editing japo ujumbe unachekesha.View attachment 3203403
===
FREEMAN MBOWE kama kweli wewe ni mwanasiasa lazima ujue kuyatazama matokeo kabla ya Uchaguzi, Hii game umepigwa jiondoe ubaki na heshima yako
Angejiuzulu angebaki na heshima kubwa sanaa nchini, kama mwanaharakati na mwanasiasa mashuhuri nwenye mchango mkubwa sanaa kwenye Chama na Taifa letu.View attachment 3203403
===
FREEMAN MBOWE kama kweli wewe ni mwanasiasa lazima ujue kuyatazama matokeo kabla ya Uchaguzi, Hii game umepigwa jiondoe ubaki na heshima yako
Kuweni na aibu. Hizo sio nguo walizovaa Bawacha katika mkutano huu.View attachment 3203403
===
FREEMAN MBOWE kama kweli wewe ni mwanasiasa lazima ujue kuyatazama matokeo kabla ya Uchaguzi, Hii game umepigwa jiondoe ubaki na heshima yako
Wapenzi wa Mbowe sio wako kimya kwa kupenda, bali wamepigwa na mshangao inakuwaje Mbowe amechokwa kwa kiwango hicho na wafuasi wengi wa cdm?KWANINI MNAMALZIMISHA AJITOE, WANAOTOA MANENO YA KEJELI HAWANA UTULIVU.
WAPENZI WA MBOWE WAMETULIA TULI. ACHENI BOX LISEME
Mwashambwa ze chawa? Hebu nitake radhi tafadhaliUmebubujikwa kama Mwashambwa?