Picha: Nini kinamtesa Paul Makonda?

Picha: Nini kinamtesa Paul Makonda?

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Huyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?

Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
20200731_104548.jpg
 
TUBU TUBU TUBU NA KIRI UMWOMBE MSAMAHA AMERUDI JAMAA. WALIOKUTUMA NA KUKUTUMIA WAMEKUTUPA HUNA PA KWENDA. Njoo mwana mpotevu hakuna dhambi isiposameheka ukitubu kwa dhati omba msamaha kwa dhati kwa kadamnasi na useme wazi uliwajeruhi wakusamehe. Hatia ya dhambi itafutwa hutaamini Ndugu Daudi Bashite trust in GOD
 
Back
Top Bottom