Picha: Nini kinamtesa Paul Makonda?

Picha: Nini kinamtesa Paul Makonda?

Inabidi serikali ianzishe utaratibu wa kupima afya za akili za hawa viongozi wetu, kuna siku tutakuja kuongozwa na vichaa... ukitaka kuamini hili we wafuatilie viongozi wengi hasa wabunge yaani kama madishi yao yameyumba vilee
 
Mtu wa Senema Huyu
Assessment ya character ya Makonde ni mtu ambaye Rais akiendelea kukaidi ushauri wa kuacha kumbeba na kumuweka Karibu Sana ni mtu mwenye dalili ya kupenda ukubwa Sana na huenda angetaka kumuangusha au kumsaliti Rais mbele ya Safari ili yeye awe Rais baada yake
Mtu ambaye anaweza kujiona ni zaidi ya Karibu mkuu wa Chama ; waziri mkuu ; au Makamu
Hata kuwajibu hadharani tena wakiwako ... aliwahi kumtuhumu PM
Hadharani kuwabeba Sirro na Ms Kaganda kuwabeba watu wa shisha ule ulikua ukosefu mkubwa kabisa wa adabu
Raisi alimwendekeza yeye mwenyewe mwana kulitafuta mwana kulipata .
 
Na mtu alienda church kusali au kumpiga picha Makonda?
Si kila mtu apambane na kutubia dhambi zake,huko church mnaenda ndio muonekane au?church ni mahali pa heshima,waovu na wema wote huenda kutubu na kuabudu.
Hiyo kuona boriti kwa wenzenu inakaa aje?
 
BAWACHA mnaweweseka sana, yani picha ya zamani mnaamua kuileta leo?
 
Mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba...

Acha apambane na hali yake.

Huku nao ma drug dealars wanataka kufanya yao....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanataka kichwa cha mzee mkuda DAB

Maendeleo hayana chama
 
Ana mengi sana moyoni!Kijana mdogo wa kimaskini unatafuta kazi!ukaipata kwa spika!kumbe spika ni top!anakunywa ya maziwa ana nenepa na suruali zinambana makalio !spika anammezea mate sana !anamshawizi hadi anakubali ndipo mwanzo wa utungu wa safari mpya hadi sasa!!!Anateuliwa kuwa commissioner wa mkoa pendwa anahudumu huku chama cha majangili kinamtumia vibaya kwa kuteka,kuua na kulemaza watu baadae kinamtosa na kumuacha solemba !Hatia inamjaa moyoni anashindwa kabisa kuzuia hisia zake anamlilia mungu amsaidie!!!!!Na mungu atamsaidia angalau utu urudi!!!
 
Huyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?

Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
Jamaa kawapenya mpaka ndani na kimenasa kidude. Mmeshindwa kabisa kumuacha...
 
Huyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?

Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
We dont fvcken care...

What Makonda does,its none of our business....

Fvck him and himself plus him and himself put together!
 
Back
Top Bottom