Picha: Nini kinamtesa Paul Makonda?

Picha: Nini kinamtesa Paul Makonda?

Umeandika nini na ww bwege?nyie vitoto tulizaa tukiwa tuna nyagi mizinga miwili kichwani mna tabu sana.
Unataka tuandike unachopenda wewe?

Fvck ya'll!

Nasema nachotaka mimi na sio wewe!

Wewe hukipendi,I'm sorry,thats entirely on you!

Haya,go mwambie boss wako Bashite,thats nigga is on deep shit..wananchi wameongea!

Wananchi ndio maboss....they spoke!Go to hell!
 
Kushindwa zoezi la kumuondoa jamaa mpka karudi kutoka ureno akiwa mzima anatembea wakati alitoa taarifa kishamaliza kazi.
 
Makonda kapata baby girl,wala hajakata tamaa na maisha.Hayo mnayakuza ninyi.
 
Huyu mtu ameua sana watu. Ameteka na kupiga risasi sana. Sijui tu anaishi njia zipi sababu watu wanaweza kulipa kisasi kwa niaba ya marehemu.
 
Tusihukumu tusije tukahukumiwa.Tuwe wapole tumpe nafasi ndugu yetu kutengeneza Mambo yake.Mnahukumu Kama mmesahau hadithi ya watu wawili walopanda hekaluni kwenda kusali.mmesahau habari za mtoza ushuru na farisayo?
 
Ana mengi sana moyoni!Kijana mdogo wa kimaskini unatafuta kazi!ukaipata kwa spika!kumbe spika ni top!anakunywa ya maziwa ana nenepa na suruali zinambana makalio !spika anammezea mate sana !anamshawizi hadi anakubali ndipo mwanzo wa utungu wa safari mpya hadi sasa!!!Anateuliwa kuwa commissioner wa mkoa pendwa anahudumu huku chama cha majangili kinamtumia vibaya kwa kuteka,kuua na kulemaza watu baadae kinamtosa na kumuacha solemba !Hatia inamjaa moyoni anashindwa kabisa kuzuia hisia zake anamlilia mungu amsaidie!!!!!Na mungu atamsaidia angalau utu urudi!!!
Hii post sijailewa kabisa[emoji848]
 
Uchu wa madaraka, hakuna kitu kizuri kama kula na kunywa bure, hukai foleni barabarani huku ukipewa ulinzi na vocha
 
Huyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?

Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
Ulimbukeni, PPCB wachunguze utajiri wake uliopindukia usio endana na muda wa miaka mitano katika utumishi wa UMMA.
 
Kinyesi ni kinyesi tu hata kikipewa jina gani kitabaki kinyesi tu

Wewe nani hata umuite kinyesi mtu aliyeumbwa na Mungu? Wewe nani hata uzuie msamaha wake ikiwa Mungu ataamua kumrehemu?
Unahaki gani wewe mbele za Mungu hata ujihesabie haki? Ni kwlei chuki yako unayoionyesha hapa inakupa ujasiri na haki mbele za Mungu? imekupasa Toba. Damu ya Yesu ikutakase.
 
Anatubu dhambi hii na ya wasio julikana
images.jpg
 
Mngejihusisha na mambo ya maisha siyo kufuatilia tu wenzenu wanafanya nini. Sisi wanaume huwa huo muda hatupati. Hayo mambo mengine muachieni mkewe.nyie mjikite kwenye mambo yenu.

Kama huo muda hauupati humu unafanya nini..tulia dawa iingie
 
Mngejihusisha na mambo ya maisha siyo kufuatilia tu wenzenu wanafanya nini. Sisi wanaume huwa huo muda hatupati. Hayo mambo mengine muachieni mkewe.nyie mjikite kwenye mambo yenu.
Amedhulumu maisha ya watu wengi hatumwachi. Kama uko karibu naye mwambie hata sisi tukifa watoto wetu watadeal naye.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?

Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
Jaribio la mauaji ya TAL loloshindwa kimiujiza lazima limtese mpaka anaingia kaburini
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom