Tanki
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 538
- 246
Wakuu habari zenu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Kuna nyumba inauzwa hapa Kinondoni. Hii ni nyumba ya ndugu yangu. Sababu ya kuiuza ni Kuna mambo yake anahitaji kuyaweka sawa ambayo ikienda kama alivyopanga atapiga hatua kubwa mno kimaisha.
Nyumba ina vyumba vitatu. Kimoja ni master room.
Seatting room
Dinning room
Jiko
Store
Baraza
Choo cha nje kipo
Hiyo ni nyumba kubwa. Kwa nje ina nyumba nyingine ambayo ni chumba na sebule.
Parking ya gari hata nne IPO
Nyumba yote hii ipo ndani ya fensi ya ukuta na ina geti kubwa.
Nyumba ipo Dar es salaam, eneo la Kinondoni "B"
Bei = Milioni 82
Contact : 0712189565
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Kuna nyumba inauzwa hapa Kinondoni. Hii ni nyumba ya ndugu yangu. Sababu ya kuiuza ni Kuna mambo yake anahitaji kuyaweka sawa ambayo ikienda kama alivyopanga atapiga hatua kubwa mno kimaisha.
Nyumba ina vyumba vitatu. Kimoja ni master room.
Seatting room
Dinning room
Jiko
Store
Baraza
Choo cha nje kipo
Hiyo ni nyumba kubwa. Kwa nje ina nyumba nyingine ambayo ni chumba na sebule.
Parking ya gari hata nne IPO
Nyumba yote hii ipo ndani ya fensi ya ukuta na ina geti kubwa.
Nyumba ipo Dar es salaam, eneo la Kinondoni "B"
Bei = Milioni 82
Contact : 0712189565