Picha: Nyumba mpya ya Diamond ya South Africa

Bei ya nyumba Afrika Kusini ni ndogo kuliko Tanzania. Nyumba nzuri ambazo zinauzwa ziko nyingi sana kuliko Tanzania
Ooh...
Kumbe..!!?
Basi ngoja na mimi niendelee kuBet nikanunuage nyumba huko kwa MADIBA..!
 
7 out of 10 ya wasanii wanasemaga nyumba walizopanga ni zao (wamezinunua)!

Hat hivyo Zari akienda South utakuta anaishi kwa mume wake mwingine.
Haya ni maigizo mengine tena sijui kuna mijitu imeumbwa kusifia tu hapa duniani? Nakumbuka sana magazeti ya udaku yalivyokuwa yakipamba majumba hewa ya wasanii ambayo hayana utofauti na hili.
Amjengee mama yake kama ile yangu niliyokuonyesha? 😉

Ila nyie si mlikuwa mnasema Zari katoswa?

Kulikoni tena?

Au ndo yaleyale...uzushi tu?
 
yaani nimeshangaa
 
Najiuliza kwa sauti ivi nyie wasichana warembo wa tz hamkuiona hii fursa kwa diamond mkamdharau mkacheka ule mdomo wee waganda wakaula denda wakaupetipet wakamzalie leo hii ndo wanapeta nae jamani mmeniangusha warembo wetu wa kibongo msirudie tena hebu kamatien fursa kwa kina raynavy sasa maana diamond kasha bebwa na idd amin afu we chibuu una bahati nyerere hayupo angekucharaza bakora uyo mganda alimsumbua sana[emoji23][emoji23]
 
nyumba iko sauzi mtaa gani na hati ni ya nani? kama kweli amenunUa bora angewajengea watoto yatima hapa bongo waishi au talent center btw muda wote zari alikuwa anaishi kwenye nyumba ya kupanga au kwa baba watoto wake ivan....kichwa kinauma
 
Nyumba ugenini tena ya gorofa aisee very expensive house in soth afrika nadhani iyo pesa ya hapo kwa bongo unaweza kujenga kama izo mbili kutokana na tofauti ya uchumi wetu na bondeni
Kinyume chake. Tz nyumba bei ghali zaidi ya SA na nchi nyingi tu duniani.
 
Nimeangalia bei ya nyumba westcliff, honestly same house ikiwa masaki itauzwa bei ghali zaidi.

http://www.property24.com/for-sale/westcliff/johannesburg/gauteng/4396/104119810
 
Watu wengine wanapenda ligi na matusi, kiukweli SA nyumba bei ni rahisi kuliko Tz, nashangaa watu wanabisha vitu viko wazi. Kusema nyumba bei rahisi kule haina maana kwamba kumiliki nyumba kama hii ya Diamond ni rahisi kwa kila mtu. Ni rahisi kulinganisha na bei za ajabu za Tz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…