Picha: Nyumba mpya ya Diamond ya South Africa

Picha: Nyumba mpya ya Diamond ya South Africa

nyumba iko sauzi mtaa gani na hati ni ya nani? kama kweli amenunUa bora angewajengea watoto yatima hapa bongo waishi au talent center btw muda wote zari alikuwa anaishi kwenye nyumba ya kupanga au kwa baba watoto wake ivan....kichwa kinauma
Kuna drama inaendelea huko IG Leo btn Zari na mmewe
 
Nimeangalia bei ya nyumba westcliff, honestly same house ikiwa masaki itauzwa bei ghali zaidi.

4 Bedroom House for sale in Westcliff - Johannesburg
Sasa Mkuu RRONDO, ngoja tuchukue reference ya huo mjengo ambao umeweka:
SA.png


Hiyo Rs. 29M ni takribani US$2.14 Million (rate ya leo) na uki-convert moja kwa moja kwa pesa ya madafu ni TZS 4.6 Billion! Hiyo iliyopo Westcliff, tuilinganishe na hii hapa chini iliyopo Masaki! Tena niseme jambo moja! Sikuhangaika kutafuta... I just picked both of them at random:
Dar.png

Hapa tutumie mchezo wa kitoto kupata jibu! Assume zote hizo zipo sehemu moja na unaambiwa uchague moja wapo 4u; utachukua ipi?
 
Ndio maendeleo tunayoyataka wasanii waliofeli maisha wanaumia sana!ila kazeni buti
 
View attachment 405551

Naseeb umeona kiki ya vihereni haijatosha basi ukaamua uende kwa IVAN sasa....umefanya jambo la ajabu sana, unafikiri kumkejel baba wa watoto wa salome wako ndio uanaume??
Na nikueleze tu watoto nafikir walikua wakikuheshimu lakin naona sasa hivi.hio heshima haitakuepo kabisa na nasikia watoto wamemaind sana..kiukwel hakuna mtoto atakaekubal baba yake adhalilishwe katika media kisa nyumba. Nyumba hata kama ya kupanga lakin si nyumba?? Watoto wameridhika na baba yao na wanampenda baba yao hata kama kawaweka kwenye nyumba ya kupanga...hela si zipo au and he is taking care of them??

And guess what bwana naseeb, salome saivi anahaha kumuomba msamaha ivan kwa ujinga uliofanya wewe...na kwa hili nimejua zari ni bonge la mwanamke koz kiukwel hakuna mwanamke ambae mliseparate kistaarabu na mkapata watoto na still watoto anawajali atakaekubal uongee shombo kwa baba watoto wake!!

Nachomshaur ivan akae kimya hivo hivo.

Naona pesa zinaanza kuwapa watu vichaa sasa. Naseeb huo sio uanaume brother. Umechemka. Hata kama ni "kiki" sio ya staili hio.
Rubish!.
Mkuu umejuaje kama ni dongo kwa ivan imekuaje umeamini icho ki post cha udaku au simu ya zari imepotea wametoa wapi hizo sms huu mchezo hauhitaji hasira au pia umeamini kuhusu hereni zile mjini hapa tunaishi kwa akili mengine baadae
 
Sasa Mkuu RRONDO, ngoja tuchukue reference ya huo mjengo ambao umeweka:
View attachment 405556

Hiyo Rs. 29M ni takribani US$2.14 Million (rate ya leo) na uki-convert moja kwa moja kwa pesa ya madafu ni TZS 4.6 Billion! Hiyo iliyopo Westcliff, tuilinganishe na hii hapa chini iliyopo Masaki! Tena niseme jambo moja! Sikuhangaika kutafuta... I just picked both of them at random:
View attachment 405570
Hapa tutumie mchezo wa kitoto kupata jibu! Assume zote hizo zipo sehemu moja na unaambiwa uchague moja wapo 4u; utachukua ipi?
nyumba imenunuliwa moleta park south huko
 
Leo kimenuka huko instagram

1474579961602-jpg.405256


Huu ndio Utajiri ambao Ivan, baba watoto wa Zari anajigamba nao kwenye mitandao:

View attachment 405510

View attachment 405511

View attachment 405512

View attachment 405513

View attachment 405514

View attachment 405515

Update:
Zari ameomba msamaha kwa mzazi mwenzie anadai Chibu kaandika huo ujumbe kwa Mange Kimambi. Watoto wa Zari wamekuja juu hawamtaki tena Diamond kwa kumuaibisha baba yao

View attachment 405565
Hawana lolote drama tu hizi!

Mama mtu mzima Mwenye watoto wanne

Anapenda kick za ajabu ajabu kabisa!
 
nyumba imenunuliwa moleta park south huko
Anyway, ingawaje tumeitaja Westcliff haikuwa na maana kwamba Chibu kanunua hiyo nyumba Westcliff! Tangu wakati tunaanza, tulitaka kufanya ulinganifu kwa kuangalia maeneo yanayofanana fanana kwa hadhi bila kujali Chibu yeye kanunua wapi!!
 
Sasa Mkuu RRONDO, ngoja tuchukue reference ya huo mjengo ambao umeweka:
View attachment 405556

Hiyo Rs. 29M ni takribani US$2.14 Million (rate ya leo) na uki-convert moja kwa moja kwa pesa ya madafu ni TZS 4.6 Billion! Hiyo iliyopo Westcliff, tuilinganishe na hii hapa chini iliyopo Masaki! Tena niseme jambo moja! Sikuhangaika kutafuta... I just picked both of them at random:
View attachment 405570
Hapa tutumie mchezo wa kitoto kupata jibu! Assume zote hizo zipo sehemu moja na unaambiwa uchague moja wapo 4u; utachukua ipi?
Sijui point yako ni nini?! Nilichojaribu kukuonesha ni kuwa nyumba Tz ni bei ghali kuliko SA. Mimi ukiniambia nichague nitachukua ya SA. Tz market is unrealistic, no value for money.

Btw bei za nyumba zimeshuka sana,kuna watu waligoma kuuza nyumba masaki $4m sasa hivi wametaka $2m hamna mnunuzi!
 
Back
Top Bottom