Nimeshalizungumza hilo kabla... by the way, sidhani kama kuna mtu alitarajia Chibu anunue nyumba maeneo ya kishua... did you?!Moreleta si ni suburb kabisa,nyumba ya kawaida
Habari ndo hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshalizungumza hilo kabla... by the way, sidhani kama kuna mtu alitarajia Chibu anunue nyumba maeneo ya kishua... did you?!Moreleta si ni suburb kabisa,nyumba ya kawaida
Habari ndo hiyo
Kwann usiite mond diamond platinum simba kiboko yao baba tiffa dangote we Yule jamaa angeitwa kimba matembo ungefurahi mzee....jiheshimuMi huwa napenda kila msanii afanikiwe , ilitakiwa wasanii wengi wa bongo wawe wana nyumba zao, domo ni kujituma kwake tuu kunamfanya apate hivo vitu.
Inatakiwa pia wasanii wengine wajifunze pamoja na sheria zetu za sanaa kuwa mbovu, mtu uki hustle inalipa, sasa mtu ana pata hela anaishia kula ngada tuu, na madem yaani hapo unakuta ka hit wimbo mmoja tuu.
Reality sometimes is far and stranger than our own imaginations. Labda mwenzetu ni muumini wa ule msemo wa "fake it until you make it".Leo ndo nimeamini Zari sio boss lady wala nini,kumbe anaishi kutegemea mwanaume,yaani unajua kabisa mwanaume anaingiza wanawake kwenye bedroom yenu na anawalala kwenye kitanda anachokulala wewe ,ila umo tu,hahahahahah maboss lady wa ukweli angeondoka on spot,ila kwa vile anamtegemea diamond financially ndo hivyo anaishia kuwafokea michepuko tu ,kumbe hata nyumba South alikuwa hana,maisha ya social media ni tofauti kabisa na maisha real
Halafu ndo maana nakupendaga wewe; una akili sana!!!Hahaha una hasira, Are you related to Ivan or something! Btw ninini kinakufanya uamini kuwa hiyo sms ni ya zari kwa ivan?
Ahhh bana, sometimes nashindwa kuelewa nini kinatokea kwenye "reasoning ability" ya baadhi ya watu! Afu acha kunizeveza hapa, PM kibao hujajibu.Halafu ndo maana nakupendaga wewe; una akili sana!!!
nopNimeshalizungumza hilo kabla... by the way, sidhani kama kuna mtu alitarajia Chibu anunue nyumba maeneo ya kishua... did you?!
TRA mpo? kuna kodi hapoKupitia ukurusa wake wa instagram, mwanamuziki diamond platnums amepost mjengo wake mpya uliopo south Africa, huku akimpongeza mzazi mwenzie (mama tiffah) kwenye siku yake ya kuzaliwaView attachment 405255View attachment 405256
Good!!
Mimi ni Mbongo Movie bhaana kwahiyo usitukejeli aisee; please... huku mambo magumu hadi kizunguzungu!!!Wasanii wetu wa mziki na bongo muvie wajifunze kuwekeza katika kukuza uchumi na maendeleo ya kujenga nyumba na kupunguza starehe
English ya mwendo kasi...!!You have to attack my points not my person. It is always important to remember that in discussion/debate. You don't know me, what I know, and what I have got just as I don't know you.
Back to the point. Mimi sijasema hiyo nyumba ni cheap.
Lakini ninachokuambia ni kuwa Tanzania tuna tatizo kubwa sana la kutokupima ardhi hasa mijini. Sehemu kubwa ya mji wa Dar es Salaam imekuwa ni ghetto tu. Hakuna barabara, sewage system, ukusanyaji takataka, n.k. Hata huko mnakosema kumepimwa ni vumbi tu. Tazama Mbezi Beach, Sinza, n.k. Sehemu ambayo ni afadhali ni Oysterbay. Hata Masaki kuna barabara nyingi tu za vumbi na maji kwa ndoo/simtank.
Miji ya South Africa ipo vizuri kama ulaya. Lakini kwa vile miji yote imepimwa, basi viwanja na nyumba huwa ni vingi sana na bei hupungua sana. Vilevile wenzetu wanajenga kwa mikopo kuliko Tanzania ambako ni lazima udundulize au uibe. Ndiyo maana wewe unapoona hiyo nyumba unafikiria itakuwa Masaki ya South Africa.
Unapozungumzia slums South Africa kumbuka kuwa kwa vile South Africa kila kipande cha ardhi kina mwenyewe ambao wengi ni wazungu siyo rahisi kwa mtu wa kawaida sana, asiye na kazi ya maana kumiliki nyumba ya maana.
Ukitaka kujua bei za nyumba South Africa tembelea tovuti za Property Agents kama Seeff Properties na linganisha bei za hizo nyumba na bei ambayo ungeambiwa Tanzania. Kumbuka Rand 1 ni sawa na USD 14.
Nakupa tovuti ya Seeff Properties kwa maeneo ya Centurion. Kama unajua mitaa mingine badilisha unavyotaka:
Properties for sale in Centurion | Seeff Properties
Moreleta si ni suburb kabisa,nyumba ya kawaida
Habari ndo hiyo
Acha habari zako bhana.., kibao wapi wakati ni moja tu tena ya kitambo kishenzi! Nilikuwa naona uvivu kujibu manake niliona hata nikijibu mtu mwenyewe unatokea kila baada ya miezi 6 mara moja!!Ahhh bana, sometimes nashindwa kuelewa nini kinatokea kwenye "reasoning ability" ya baadhi ya watu! Afu acha kunizeveza hapa, PM kibao hujajibu.
Sio wrote, mwanamke kama zari Ana haki ya kupata kwa ajili ya mtoto(tiffah) pamoja na anayekuja, hata kama hawajaoana bado watoto wana haki na Mali za baba yao upoo? Na mama atawasimamia watoto wake mpaka wafikishe umri wa miaka 18 ndo watoto wanakabidhiwa Mali zao, hapana chezeya zari the bosslady
Sio wrote, mwanamke kama zari Ana haki ya kupata kwa ajili ya mtoto(tiffah) pamoja na anayekuja, hata kama hawajaoana bado watoto wana haki na Mali za baba yao upoo? Na mama atawasimamia watoto wake mpaka wafikishe umri wa miaka 18 ndo watoto wanakabidhiwa Mali zao, hapana chezeya zari the bosslady
Na sisi huku Mikoroshini ndo hivyo hivyo!Sisi wa Tandale hiyo nyumba si ya kawaida. Kaka yetu kanunua nyumba nje ya nchi, Bondeni kwa Madiba hilo ndo kubwa. Kama iko Tandale ya huko Bondeni mnajua nyie wa Masaki. Kalipa mamia ya mamilioni. Nyumba ya vyumba viwili ilikuwa anasa kwetu. Huku kwetu Tandale hakuna nyumba kama hiyo. Hata kwa shoga zangu kina Sikudhani na Semeni wa Sala Sala na Mbezi Beach si za kawaida.Na kule Masaki nyumba kama hiyo wanakalia mabalozi.
Hayo ya wifi ya kujiita au kuitwa bosslady nyie tu na rohozenu. Mimi najua bosslady ni bosslady tu kwenye sekta hiyo. Unaowasemea wewe wanaitwa Iron ladies. Kama HAWARA analala na "ladies" wengine na bado anavumilia ndo uboss wenyewe. Kama na umri wake mkubwa na watoto watatu kaweza kumkamatia kaka ndo ubosslady wenyewe huo. Mabinti wa ngapi wa hukokwenu wanamkodolea kaka macho kodo kodo lakini hawaoni pa kupita? Halafu kwani bosslady alifuata ndoa au mradi mpaka aondoke kisa waja? Hao wanaolala na hawara yake wameshapata nyumba ngapi? Wanawe wakipata kiota naye kapata kiota. Kila lady anajua anachokifata kwa kaka. Wengine wakilala kwenye kile kitanda tu wanatoka moyo kwatuu... Kikubwa nipate habari za burudani. Wao wanajuana wenyewe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]Mimi ni Mbongo Movie bhaana kwahiyo usitukejeli aisee; please... huku mambo magumu hadi kizunguzungu!!!
Hata sisi huku ikwiriri ni hivyo hivyo! Haya ni mambo ya kawaida kwa waliokulia masaki na obey. Hahhahah maisha behind the keyboard ni raha sana [emoji23][emoji23] CC. NANDERANa sisi huku Mikoroshini ndo hivyo hivyo!
Victoire yaani Mimi hata sitaki kuamini?![emoji15] [emoji15]...alivyokuwa anajishaua huyu mmama na nyodo zake mi nikahisi dharau za hela!...heee si kwa kubembeleza huku ili Ivan amsamehe, yani kotekote zari anamuigopa Ivan na Domo na inaonesha wote anawapanulia...maskini kumbe hana ujanja wowote, anategemea K na child support..Huddah was correct kumbeee!!!Leo ndo nimeamini Zari sio boss lady wala nini,kumbe anaishi kutegemea mwanaume,yaani unajua kabisa mwanaume anaingiza wanawake kwenye bedroom yenu na anawalala kwenye kitanda anachokulala wewe ,ila umo tu,hahahahahah maboss lady wa ukweli angeondoka on spot,ila kwa vile anamtegemea diamond financially ndo hivyo anaishia kuwafokea michepuko tu ,kumbe hata nyumba South alikuwa hana,maisha ya social media ni tofauti kabisa na maisha real
Amembembeleza nani kwani?Victoire yaani Mimi hata sitaki kuamini?![emoji15] [emoji15]...alivyokuwa anajishaua huyu mmama na nyodo zake mi nikahisi dharau za hela!...heee si kwa kubembeleza huku ili Ivan amsamehe, yani kotekote zari anamuigopa Ivan na Domo na inaonesha wote anawapanulia...maskini kumbe hana ujanja wowote, anategemea K na child support..Huddah was correct kumbeee!!!