Picha: Penny Amfanyia Suprise Heaven On Desert kwenye Birthday Yake

Hua hajui kupangilia nguo pia hajui kuchagua nguo,sijawahi kumuona kapendeza hata siku moja, hapo utafikiria kavaa dekio

Basi watu wa IG wanavyomsifiaga kapendeza ndo wanamchanganya kabisaaaaa..hata mi sijawahi ona penseli kapendeza,na pozi lake la kuegemea ukuta kila siku
 
Hapa ndio teknolojia ya mzungu ya 360 inapochemshaga..we kweli kifesi
 
Me uwa nina wasiwasi na huyo dada yake DIAMOND Na KiFESI inawezekana kiface akawa ana mla 0713 huyo asma platnumz yaani nyendo zao sizielewi elewi hivi…!
 

Watu bana,kwa hiyo ulitaka baada ya kuachana basi ajenge uadui na watu aliokwisha jenga uhusiano nao /yan tuwe hatusalimian,kuongea wala kufanya mambo mengine yabkibinadam.acha ujinga mtunmzima wewe
 
Ila h.o.d take care na hicho kibarua chako ujue chaguo la diamond ni wema
usije sema nakukejeli hapa make hukawii

labada nikujuze kitu rafiki yangu,diamond hachanganyagi mapenz na kazi hata siku moja,wema kaja tayri me na peny tu marafik tunaoheshimianana dai anafham so ulitaka tuvunje urafik?wema mwenyewe anafaham hajakasirika na we talkin kama kawaida..si kila mtu anaweza kuwa na mawazo an misimamo ya hivyo ndugu yangu Evelyn Salt
 
Last edited by a moderator:
Me uwa nina wasiwasi na huyo dada yake DIAMOND Na KiFESI inawezekana kiface akawa ana mla 0713 huyo asma platnumz yaani nyendo zao sizielewi elewi hivi…!

KUwa kama mtu mzima basi,istoshe hujaona nina mpenz wangu hapo?? mamakibunju
 
Last edited by a moderator:

H.O.D mi sijasema uvunje urafiki ila mke wa boss aheshimiwe make kuna siku umemponda kisa penny
 
anna charles my ex girlfriend ha ha ha ha long tym aint see her...hope unam2nza vizuri au vp? #nyc couple
 
Watu bana,kwa hiyo ulitaka baada ya kuachana basi ajenge uadui na watu aliokwisha jenga uhusiano nao /yan tuwe hatusalimian,kuongea wala kufanya mambo mengine yabkibinadam.acha ujinga mtunmzima wewe

Wewe si ulikuwa unapinga eti Penny hajapigwa kibuti
 
hivi hii nchi hawa ndio macelebrities wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…