Picha: Peter Madeleka akiwa na Maburungutu ya pesa. Hii ni baada ya kupigania haki za wanaoonewa

Picha: Peter Madeleka akiwa na Maburungutu ya pesa. Hii ni baada ya kupigania haki za wanaoonewa

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Duh

20241010_185704.jpg
 
Vijana wa chadema wajinga sana hapo wamechangia ukiwaambia wachangie ujenzi wa zahanati watagoma

USSR
Kati ya wanaochangia moja kwa moja kwa wahanga au kutoa motisha kwa watetezi fulani na wanaonunua magoli ya mpira wa miguu huku wakishindwa kujenga zahanati na kodi zinazotokana na jamii yote kwa ujumla wapinzani wakiwemo unaona ni wepi wajinga na hawana akili?
 
Utoto,ushamba,ulimbukeni,kuasilika kisaikolojia ,ujinga ndio vinamsumbua. Mbona akina Bakhresa, Mohamed Dewji,Alicko Dangote,GSM ,Bilgeti,Alon Musk na wengine wengi hawafanyi huo ujinga na utoto .huyu jamaa namuonaga ni kama kichwa chake hakina akili au hayupo sawa kichwani.kwa namna ambavyo huwa anapost vitu vya kijinga jinga na kitoto toto tu.
 
Kulikuwa na haja ya kupiga picha na hizo bongoland bulky notes?

Kuelimika ni kugumu sana!
 
Mie sielewi, mnakasirika nini? pesa ya kwake nawe pesa yako fanya unayopenda na kama hauna achana na makasiriko tumia huo muda kuzisaka.
 

Attachments

  • 20240907_152924.jpg
    20240907_152924.jpg
    50.2 KB · Views: 6
Back
Top Bottom