Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda zako huko. Kodi tunazolipa zinaenda wapi?Vijana wa chadema wajinga sana hapo wamechangia ukiwaambia wachangie ujenzi wa zahanati watagoma
USSR
Na zaidi hio ya chai tu bado ya ugali maharagekama 20 hivi
Kati ya wanaochangia moja kwa moja kwa wahanga au kutoa motisha kwa watetezi fulani na wanaonunua magoli ya mpira wa miguu huku wakishindwa kujenga zahanati na kodi zinazotokana na jamii yote kwa ujumla wapinzani wakiwemo unaona ni wepi wajinga na hawana akili?Vijana wa chadema wajinga sana hapo wamechangia ukiwaambia wachangie ujenzi wa zahanati watagoma
USSR
Sa100 ana Hela ajenge zahanati!Vijana wa chadema wajinga sana hapo wamechangia ukiwaambia wachangie ujenzi wa zahanati watagoma
USSR
Huu ni shamba tu! Ana behave kama zuzu vile!
Serikali ya ccm inakopa hailipi, inapewa misaada, inaomba, inakusanya kodi zinakwenda wapi au ndio hizo mnazohonga watu mitaani.Vijana wa chadema wajinga sana hapo wamechangia ukiwaambia wachangie ujenzi wa zahanati watagoma
USSR
Mnununue mashangingi halafu ujenzi wa zahahati mchangishe wananchi. Hopeless kabisa nyie watu.Vijana wa chadema wajinga sana hapo wamechangia ukiwaambia wachangie ujenzi wa zahanati watagoma
USSR
He is an 'Agent of Influence.'
Ha ha ha ha ha kwel kbsVijana wa chadema wajinga sana hapo wamechangia ukiwaambia wachangie ujenzi wa zahanati watagoma
USSR
Ulijua matumizi ya tozo au iliisha juu kwa juuVijana wa chadema wajinga sana hapo wamechangia ukiwaambia wachangie ujenzi wa zahanati watagoma
USSR