Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
jamaa ni mwanasiasa mzuri sana, ila kwa wasiomjua ni mwanasheria mbovu sana. mbinu anayotumia kupata pesa ni ile ambayo hata sio ya kutumia akili nyingi na hapo nampongeza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa ni mwanasiasa mzuri sana, ila kwa wasiomjua ni mwanasheria mbovu sana. mbinu anayotumia kupata pesa ni ile ambayo hata sio ya kutumia akili nyingi na hapo nampongeza.
Kila mtu anakula madhabahuni kwake.
Wapo radhi wamchangie aliemtukana mama Samia ili atoke lock up kuliko kuchangia maendeleo ya Taifa.Vijana wa chadema wajinga sana hapo wamechangia ukiwaambia wachangie ujenzi wa zahanati watagoma
USSR
Utoto,ushamba,ulimbukeni,kuasilika kisaikolojia ,ujinga ndio vinamsumbua. Mbona akina Bakhresa, Mohamed Dewji,Alicko Dangote,GSM ,Bilgeti,Alon Musk na wengine wengi hawafanyi huo ujinga na utoto .huyu jamaa namuonaga ni kama kichwa chake hakina akili au hayupo sawa kichwani.kwa namna ambavyo huwa anapost vitu vya kijinga jinga na kitoto toto tu.
Inawezekana ujinga wake unamanufaa kwa taifa hasa watu wengi wenye uelewa wa haki, hivyo wanamchangia ili akapambanie yale yaliyofanya hata yeye akanufaika kwa elimu yake na hizo fedha.Utoto,ushamba,ulimbukeni,kuasilika kisaikolojia ,ujinga ndio vinamsumbua. Mbona akina Bakhresa, Mohamed Dewji,Alicko Dangote,GSM ,Bilgeti,Alon Musk na wengine wengi hawafanyi huo ujinga na utoto .huyu jamaa namuonaga ni kama kichwa chake hakina akili au hayupo sawa kichwani.kwa namna ambavyo huwa anapost vitu vya kijinga jinga na kitoto toto tu.
Nasikia umeonekana kituo cha kujiandisha tangu jana usiku na maandazi yako ili asubuhi uwe wa kwanza, una hasira Luca🤣Utoto,ushamba,ulimbukeni,kuasilika kisaikolojia ,ujinga ndio vinamsumbua. Mbona akina Bakhresa, Mohamed Dewji,Alicko Dangote,GSM ,Bilgeti,Alon Musk na wengine wengi hawafanyi huo ujinga na utoto .huyu jamaa namuonaga ni kama kichwa chake hakina akili au hayupo sawa kichwani.kwa namna ambavyo huwa anapost vitu vya kijinga jinga na kitoto toto tu.
Pumbavu kabisa.Utoto,ushamba,ulimbukeni,kuasilika kisaikolojia ,ujinga ndio vinamsumbua. Mbona akina Bakhresa, Mohamed Dewji,Alicko Dangote,GSM ,Bilgeti,Alon Musk na wengine wengi hawafanyi huo ujinga na utoto .huyu jamaa namuonaga ni kama kichwa chake hakina akili au hayupo sawa kichwani.kwa namna ambavyo huwa anapost vitu vya kijinga jinga na kitoto toto tu.
Wakati mama anachangia magoli ya simba na yangaVijana wa chadema wajinga sana hapo wamechangia ukiwaambia wachangie ujenzi wa zahanati watagoma
USSR