Mpiga picha ni mnoko kuliko kiranja wa zamu.Mgombea urais kupitia chama cha wananchi CUF amelakiwa na maelfu kwa mamia ya wananchi mkoani iringa katika viwanja vya mwembetogwa tarehe 14.10.2020View attachment 1601475
Watu nyomiiiiiMgombea urais kupitia chama cha wananchi CUF amelakiwa na maelfu kwa mamia ya wananchi mkoani iringa katika viwanja vya mwembetogwa tarehe 14.10.2020View attachment 1601475
Malipo ni hapa hapa duniani
Anachungulia kama mjusi kwenye shimo ..sasa aende tena kulala Buguruni ofisini na akapewe ulinzi na policcm tuoneMgombea urais kupitia chama cha wananchi CUF amelakiwa na maelfu kwa mamia ya wananchi mkoani iringa katika viwanja vya mwembetogwa tarehe 14.10.2020View attachment 1601475
Huyu jamaa anapendwa sanaMgombea urais kupitia chama cha wananchi CUF amelakiwa na maelfu kwa mamia ya wananchi mkoani iringa katika viwanja vya mwembetogwa tarehe 14.10.2020View attachment 1601475
Huyu jamaa anapendwa sana
hatari sana😂😂😂
Yuko kazini hapo. CCM inahitaji (na inawalipa) watu kama hawa ili kuonesha dunia kuwa Tanzania kuna demokrasia na kuhalalisha ushindi wa wizi wa CCM. Atakuwa mgombea wa kwanza kukubali kuwa CCM imeshinda kihalali. Hiyo ndio kazi aliyopewa.Huyu Mzee mbishi sana
Hasa kws kumsaliti Mungu na kujiunga na shetani na mambo yake.Usaliti ni dhambi mbaya sana
Huyo Lipumba miaka yote alikuwa anatembelea nyota ya Maalim Seif, ccm wakamuingiza chaka saa hii anakutana na ukweli mchungu. Yeye na Mbatia tuliwaambia huo uchaguzi wa 2015 walipanda thamani kwa kuwa kwenye ukawa sababu ya cdm, waligoma kabisa ila saa hii hatuandikii mate.