Atakuwa alimpiga Picha kisha akaondoka bila kutoa msaada wowote kwake.Ulipomaliza kumpiga picha ulimpa msaada gani mkuu? Kumbuka msaada sio pesa tu hata huo ushauri wa kwenda ubalozini ulimwambia?
Anaonesha kama mwarab au mturkey
Nguo zao nzuri sio maronyaronya. Atakuwa ana act movie labda
Itakuwa.Nguo zao nzuri sio maronyaronya. Atakuwa ana act movie labda
SadAtakuwa alimpiga Picha kisha akaondoka bila kutoa msaada wowote kwake.
Safi sana mkuu. Mungu azidi kukubariki.Nimempa 500 lakin nikamuuliz mtu wa pemben jamaa kama amepatwa na shida obvious kuna ubaloz