Picha: Raia wa kigeni azunguka na watoto Kariakoo kuomba msaada

julaibibi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2020
Posts
3,081
Reaction score
4,224
Kwa kweli leo imenishinda nilishazoea kusikia mchina anauza madafu sijui karanga mitaan inakuw tunawahis hawa labda ma spy.

Ila leo huyu jamaa anazunguka Kariakoo miskitin anaomba.hiv kwanin anatesa hawa watoto, kwanin asirud ubalozin akaomba msaada labda alipata na majanga yakasabisha ashindwe kurudi kwao?

Jinsia na jamii ebu tusaidien huyu jamaa ilikuwaje kuwaje?

Anazunguka na watoto lami peku barabara ya moto kama hivi

 
Documentary ya namna gani watu weusi wanavyowashobokea weupe wakiwa ombaomba huko Africa,soon itakua YouTube.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…