Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHATGPTRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa China Mhe. Xi Jinping kando ya Mkutano wa BRICS unaofanyika Jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 24 Agosti, 2023.
View attachment 2727312View attachment 2727313
Huyu bibi Anafanyaha mambo kimya kimya akishaaleta panic anatumia pesa na vyombo vya dollar kuwanyamzisha wstu ,2022 walikutana na makhtum deal la DP w likaingiwa ,mungu tuepuehe na fitina nyingieneRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa China Mhe. Xi Jinping kando ya Mkutano wa BRICS unaofanyika Jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 24 Agosti, 2023.
View attachment 2727312View attachment 2727313
Wameongea nini sasa.? Bila kutuletea walichoongea basi walikuwa wanasalimiana tu..Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa China Mhe. Xi Jinping kando ya Mkutano wa BRICS unaofanyika Jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 24 Agosti, 2023.
View attachment 2727312View attachment 2727313
Sidhani kama tunamtendea haki kwenye hili.Rais ombaomba
Huu Mkao wa Rais Wetu mbona kama Anamuogopa huyo Xi? Au ni macho yangu?
View: https://www.instagram.com/p/CwU8Z4vNEY-/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Huu Mkao wa Rais Wetu mbona kama Anamuogopa huyo Xi? Au ni macho yangu?
View: https://www.instagram.com/p/CwU8Z4vNEY-/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Huu Mkao wa Rais Wetu mbona kama Anamuogopa huyo Xi? Au ni macho yangu?
View: https://www.instagram.com/p/CwU8Z4vNEY-/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Huu Mkao wa Rais Wetu mbona kama Anamuogopa huyo Xi? Au ni macho yangu?
View: https://www.instagram.com/p/CwU8Z4vNEY-/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
AahaaaaMchina anapiga sound, mama anampigia timing, akijitusua tu anaombwa mkopo wa vijipesa kidogo.