mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Mbona sisi sio wana brics au kihere here?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama atakuwa ameulizwa: Mbona sisi mlitubania ule mkataba mzuri wa bandari ya bagamoyo, na huyu mkwapuaji wa kiarabu mmemruhusu akwapue mchana kweupe? Mkataba gani usiokuwa na ukomo?Huu Mkao wa Rais Wetu mbona kama Anamuogopa huyo Xi? Au ni macho yangu...
Mkao wa Mama kama anajiandaa kupiga mzinga.Huu Mkao wa Rais Wetu mbona kama Anamuogopa huyo Xi? Au ni macho yangu....
Yuko anamuomba hela huenda na magoti amepiga ila hatujaonyeshwa kwenye pichaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa China Mhe. Xi Jinping kando ya Mkutano wa BRICS unaofanyika Jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 24 Agosti, 2023.
View attachment 2727312View attachment 2727313
😂😂Hivi huwa kuna mikao ya ki - Rais pia au unaweza kukaa vyovyote vile upendavyo?
Mkao wa Mama Samia ni kama vile anajiandaa kutaka kuanza kukuna nazi 😄
Halafu mkao wa Xi Jinping ni kama anajiandaa kutimka mbio za mita mia moja🥺!
Bagamoyo port loading......Mimi sina habari na mkao ila najiuliza dili gani hapo litafuata?
Soma picha mkuu, kuna taarifa ya kutosha hapo; hasa hiyo namba mbili inaeleza mengi sana.Mimi sina habari na mkao ila najiuliza dili gani hapo litafuata?
Sasa unakataa nini na unakubali niniSidhani kama tunamtendea haki kwenye hili.
Ana mabovu yake lakini kila anachokifanya nje analeta ndani kwenye bajeti
Bandari ya bagamoyoWameongea nini sasa.? Bila kutuletea walichoongea basi walikuwa wanasalimiana tu..
Unless kama anaomba TICS iendelee na kupakuwa makontena
Nakubaliana kumpinga kwa hojaSasa unakataa nini na unakubali nini
Anasikiliza kwa makiniHuu Mkao wa Rais Wetu mbona kama Anamuogopa huyo Xi? Au ni macho yangu...
Huu Mkao wa Rais Wetu mbona kama Anamuogopa huyo Xi? Au ni macho yangu?
View: https://www.instagram.com/p/CwU8Z4vNEY-/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==