PICHA: Rais Samia aongoza Vikao Vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu Kwa Mafanikio Makubwa, Je leo ni Paul Makonda au Mizengo Pinda?

PICHA: Rais Samia aongoza Vikao Vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu Kwa Mafanikio Makubwa, Je leo ni Paul Makonda au Mizengo Pinda?

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20250117-WA0138.jpg

IMG-20250117-WA0146.jpg

Wajumbe wa mkutano mkuu NEC
===
Hatimaye Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amemaliza Vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri kuu Leo kwa Mafanikio Makubwa kazi iliyobaki ni Mkutano Mkuu kesho tarehe 18.01.2025.

Rais Samia akiwa amevalia gauni la kijani na kilemba cheusi ameonekana ni mtu mwenye bashasha sana kiasi Cha kuwafanya wajumbe wa Mkutano Mkuu kuwa na furaha zaidi wakiamini anakwenda kuwaletea jembe la kazi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Nov 2025.


IMG-20250117-WA0116.jpg

IMG-20250117-WA0115.jpg

Wajumbe wa Kamati Kuu CC
 
View attachment 3204656
View attachment 3204659
===
Hatimaye Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amemaliza Vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri kuu Leo kazi iliyobaki ni Mkutano Mkuu kesho tarehe 18.01.2025.

Rais Samia akiwa amevalia gauni la kijani na kilemba cheusi ameonekana ni mtu mwenye bashasha sana kiasi Cha kuwafanya wajumbe kuwa na furaha wakiamini anakwenda kuwaletea jembe la kazi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Nov 2025.

View attachment 3204661
View attachment 3204662

Umekuaje kwa mafanikio wakati haukuwepo?
 
Back
Top Bottom