CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
View attachment 3204656
View attachment 3204659
===
Hatimaye Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amemaliza Vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri kuu Leo kazi iliyobaki ni Mkutano Mkuu kesho tarehe 18.01.2025.
Rais Samia akiwa amevalia gauni la kijani na kilemba cheusi ameonekana ni mtu mwenye bashasha sana kiasi Cha kuwafanya wajumbe kuwa na furaha wakiamini anakwenda kuwaletea jembe la kazi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Nov 2025.
View attachment 3204661
View attachment 3204662
🤣🤣Lucas Mwashambwa hapo chozi la furaha tuu hadi kidevuni
Sio mjumbe yuleSijamuona Tlaatlaah hapo!
Kumbe nae ni mpiga koleo tu kama Lucas Mwashambwa ?Sio mjumbe yule
Kwa ukimya wake, usikute ana majukumu. Usikute ndo mwenezi mwenyewe. Sio bure jamaa akae kimya hivi 😂😂😂Sio mjumbe yule
Lucas Mwashambwa yeye alikua mpanga viti tu ukumbini.Kwa ukimya wake, usikute ana majukumu. Usikute ndo mwenezi mwenyewe. Sio bure jamaa akae kimya hivi 😂😂😂
Ni Green Guard LucaLucas Mwashambwa yeye alikua mpanga viti tu ukumbini.
Ngoja tuone hii piaKama wanataka kuendana na Kasinya LISSU.
Wampe Makonda.
Yuko vizuri pia Mzee wetuMizengo Pinda
🤣 🤣 🤣Lucas Mwashambwa hapo chozi la furaha tuu hadi kidevuni