Wasilipane??Na posho wamelipana au.?
per diem lazima kufa kufaanaNa posho wamelipana au.?
Kuna haja? Extra Vaganti, huwezi amini kuna shule wanatumia vyoo vya makutiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024.
View attachment 2906159
View attachment 2906163
View attachment 2906162
Kikao hicho kimefanyika Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella.
Kufa kufaanaDuuuh [emoji19] na maposho juu yanapigwa
Una maana gani ?Fisadi apumzike sasa.
EL was above next level.. Among them all..!!!Daaah Kwa maana iyo akuna ripoti ya SUKARI NA UMEME? YY ANAPENDA VITU VYEPESI TU
EL was above next level.. Among them all..!!!Daaah Kwa maana iyo akuna ripoti ya SUKARI NA UMEME? YY ANAPENDA VITU VYEPESI TU