Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Behave yourself!
Usifanye Masihara na Ekarist TAKATIFU!
Usijiandikie tu!
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Waaambie Hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Behave yourself!
Usifanye Masihara na Ekarist TAKATIFU!
Usijiandikie tu!
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Mwenyezi Mungu huzipokea roho zinapokufa. Na zile zisizokufa wakati wa kulala kwake. Huzishika zilizohukumiwa kufa, na huzirudisha nyingine mpaka ufike wakati uliowekwa. Hakika katika hayo bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanaofikiri.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024.
View attachment 2906159
View attachment 2906163
View attachment 2906162
Kikao hicho kimefanyika Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella.
Unamawazo ya kijinga sana. Yaani unaona bora mawaziri waibe ila mpewe demokrasia ya kunadamana mabarabarani! Hizi akili huwa mnazitoa wapi!Mama akirejesha Demokrasia ndani ya Nchi hata kama Mawaziri wake wamegeuka wezi wa kutupwa Historia itamkumbuka.
Naona ni kama wamekaa kwenye tentKikao hicho kimefanyika Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella.
Sasa hivi naona dew drop ndo mpango mzima. siyo Kilimanjaro tena😁 R.I.P uzalendoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024.
View attachment 2906159
View attachment 2906163
View attachment 2906162
Kikao hicho kimefanyika Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella.
Unauliza vumbi stoo ya mkaa😀😀Na posho wamelipana au.?
Halfu hiyo Ikulu ndogo ilivyo chafu utadhani ni choo cha stendi. Hiyo mi-pazia sasa.Ni kikao cha wezi wa kura na mali za umma
Jana alfajiri.....mchana kaenda Arusha...bi mwendo kiguu njiaKarudi lini kwani...au ndo surprise
Anachana mbuga ka mashindanoJana alfajiri.....mchana kaenda Arusha...bi mwendo kiguu njia
Yeye mwenyewe lowassa hajawahi kukanusha popote pale kuwa sio fisadi mpaka anakwenda kaburini,Sana sana alisema besa alikuwa anagawa alikuwa akipewa na rafiki zake,kihusu ufisadi wake hakuwahi kukanusa popote pale pamoja na kuandamwa na vyombo vya habari na wanasiasa wenzake.Una maana gani ?
Hakuna mtanzania aliyewahi kuthibitisha kuwa lowassa ni Fisadi.
Wale waropokaji wa Chadema mwisho wa siku walijikuta wanaingia kwenye zoezi gumu la kumsafisha mtu waliyemtangaza kuwa ni fisadi.
Hata wewe ukipewa Uwaziri utaiba tu, sema hujapata FURSA 👈huu ndio ukweli.Unamawazo ya kijinga sana. Yaani unaona bora mawaziri waibe ila mpewe demokrasia ya kunadamana mabarabarani! Hizi akili huwa mnazitoa wapi!
Perdiem kiasi gani?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024.
View attachment 2906159
View attachment 2906163
View attachment 2906162
Kikao hicho kimefanyika Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella.