Lini walianza kumpenda?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024.
View attachment 2906159
View attachment 2906163
View attachment 2906162
Kikao hicho kimefanyika Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella.
Mnakaa mnachelewesha mama wa watu kwenye vikao wekeni ndege mafuta asafiri nchi bado nyingi ambazo ajaendaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024.
View attachment 2906159
View attachment 2906163
View attachment 2906162
Kikao hicho kimefanyika Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella.
Lowasa alijisafisha mwenyewe kwa kumtaja kikwete ndio muhusika wa yale madiliUna maana gani ?
Hakuna mtanzania aliyewahi kuthibitisha kuwa lowassa ni Fisadi.
Wale waropokaji wa Chadema mwisho wa siku walijikuta wanaingia kwenye zoezi gumu la kumsafisha mtu waliyemtangaza kuwa ni fisadi.
Ni kikao cha wezi wa kura na mali za ummaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024.
View attachment 2906159
View attachment 2906163
View attachment 2906162
Kikao hicho kimefanyika Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella.
Acha wivu, Lowassa atazikwa mara 1 tuDuuuh 😒 na maposho juu yanapigwa
Amekwisha rejesha tayari. Kwani unaishi sehemu gani ya TanzaniaMama akirejesha Demokrasia ndani ya Nchi hata kama Mawaziri wake wamegeuka wezi wa kutupwa Historia itamkumbuka.
R I P laigwanani comrade ENLRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024.
View attachment 2906159
View attachment 2906163
View attachment 2906162
Kikao hicho kimefanyika Ikulu Ndogo ya Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella.
Katiba Mpya na Tume HURU ya Uchaguzi.Amekwisha rejesha tayari. Kwani unaishi sehemu gani ya Tanzania
Wasilipane??
Behave yourself!Mama anaupiga mwingi. Yale maandamano ya Ekaristi huko Mwanza jana yaliishaje?
Kama kawaNa posho wamelipana au.?
Hiyo safi sanaper diem lazima kufa kufaana
KabisaaaDaaah Kwa maana iyo akuna ripoti ya SUKARI NA UMEME? YY ANAPENDA VITU VYEPESI TU
Tafuta mbadala wa neno Ekaristi" linaondoa dhima ya sentensi nyingine nzuri ukizoweka.....please tusiingize terminology za Imani kwenye siasa.Mama anaupiga mwingi. Yale maandamano ya Ekaristi huko Mwanza jana yaliishaje?
Sema chochote kitu NumbisaDuh aiseee
Yaani inashangaza kweli kweli, wanaacha kukaa kikao kutatua tatizo sugu la umeme wanakaa kikao kujadili namna ya kumzika mtu mmoja...kuzika inahitaji kikao cha viongozi wote hao?!.Na posho wamelipana au.?