Sure, nimeona aibu haswaa.Hii picha ni 'nasty" hata katika dini ya kiislamu.
Anayebisha Anyanyue Mkono Afanye Kama AnajikunaHapo tumepigwa mchana kweupe
Jamani wengine KINGEREZA Tulianzia Form one ...jivi hakuna zero distance maana take mini,...kwa miktadha wa content ya mleta uzi?!Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Acha kufoka mazee, iyo picha imepigwa lini ? Sidhani kama imepigwa akishakuwa raisi. Ukitaka urojo sema utapewa bure kwa wewe, makubaliano tuu. 😉Hivi CCM mlikosa mtu wa kupendekeza kuwa makamu wa Rais,mkatuletea urojo kama huu,huyu alipaswa akaimbe taarabu kule kwao,ona sasa haya maajabu!
Kwa huyu rais tumepigwa.
Hata kama ni drama avae basi uhusika.
Ajifunze kutoka kwa marais wanawake waliofanya vizuri kama yule wa Ujerumani au hata yule wa Liberia.
Uraisi ni taasisi, una heshima zake.
Kama sio magufuli huyu mama asingekuwepo, chanzo cha tatizo ni huyo magufuli wako.Tulimkataa MAGUFULI Mungu katupa HANGAYA
TAFSIRI ya kabila letu neno HANGAYA maana yake KUA UYAONE.
nadhan tunajionea Sasa watanzania
#AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGUU
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Baada ya kupiga hiyo picha ikawekwa kwenye mtandao gani?Sioni tatizo lolote la hii picha. Nilienda Canada. Mke wa Waziri Mkuu aliomba kupiga picha nami. Aliyepiga picha ni mume wake. Nilikuwa na shaka kidogo, nikakipu distance, lakini mke wa Waziri mkuu alilalamika akiomba nimkumbatie. Nilishtuka kidogo, nikamtazama mumewe, yeye akafurahi na kuniambia, please do it. Nilimkumbatia, mumewe akapita picha. Tukapeana mikono kwa furaha kubwa.
Kwani kuwa Rais, ubinadamu wake umebadilika?
Tuangalie mambo makubwa. Tukosoa mambo makubwa, kama ya kubambikia watu kesi za ugaidi, siyo picha. Ningeshangaa kama angekuwa amepiga picha, labda akiwa nusu uchi, lakini siyo kwa hii picha.
😲😲😲Hii picha ni 'nasty" hata katika dini ya kiislamu.
Covid is real,
Acheni ujinga, kuna kosa gani hapo, huyo Peter Greenberg is known worldwide kufanya Royal Tour, kashafanya na marais na wakuu wa nchi nyingi duniani..
Acheni huu upuuzi wa kutaka kumchafua Mh. Rais. Chadema roho inawauma sana nchi yetu kutangazwa tupate watalii wengi zaidi. Kazi iendelee
Hoja yako nzuri,Ila umeingiza ushabiki wa vyama,hapa tunajadili Kama watanzania,sio wanaccm Wala wanachadema,
Acheni ujinga, kuna kosa gani hapo, huyo Peter Greenberg is known worldwide kufanya Royal Tour, kashafanya na marais na wakuu wa nchi nyingi duniani..
Acheni huu upuuzi wa kutaka kumchafua Mh. Rais. Chadema roho inawauma sana nchi yetu kutangazwa tupate watalii wengi zaidi. Kazi iendelee
Hebu tutajie nchi tatu ili tuone mafanikio yake
Acheni ujinga, kuna kosa gani hapo, huyo Peter Greenberg is known worldwide kufanya Royal Tour, kashafanya na marais na wakuu wa nchi nyingi duniani..
Acheni huu upuuzi wa kutaka kumchafua Mh. Rais. Chadema roho inawauma sana nchi yetu kutangazwa tupate watalii wengi zaidi. Kazi iendelee
I feel you brotherSijui kwanini nimejisikia vibaya namna hii kwa hii picha!!
Wakumbushe modsHakuna zero distance au hakuna 1M distance? Mi naona zero distance
Du TUMEPIGWA hapa chai tupu waziri mkuu anaitwa nanSioni tatizo lolote la hii picha. Nilienda Canada. Mke wa Waziri Mkuu aliomba kupiga picha nami. Aliyepiga picha ni mume wake. Nilikuwa na shaka kidogo, nikakipu distance, lakini mke wa Waziri mkuu alilalamika akiomba nimkumbatie. Nilishtuka kidogo, nikamtazama mumewe, yeye akafurahi na kuniambia, please do it. Nilimkumbatia, mumewe akapita picha. Tukapeana mikono kwa furaha kubwa.
Kwani kuwa Rais, ubinadamu wake umebadilika?
Tuangalie mambo makubwa. Tukosoa mambo makubwa, kama ya kubambikia watu kesi za ugaidi, siyo picha. Ningeshangaa kama angekuwa amepiga picha, labda akiwa nusu uchi, lakini siyo kwa hii picha.