Picha: Ray C amtembelea Lady Jaydee

angalieni mkono wa Ray C jamani kama Chid, Babutale hajamuona nini
 
Kweli kiuno bila mfupa....sasa hivi anaweza kweli kukata uno?
 
Weh! Mbona jay dee kwenye picha hii kidude (kitako) kimeonekana kuumuka sana ??? Au photoshop ?? Dah, wakubwa wanafaidi
Gardner si karudisha ile Range! Watu kwa chuki zao walikuwa wanambishia Wema; sasa Jide huyo, kwa mbaaaaaaaali mambo yaanza kuumuka!
 
Kwann anazd kubwia ngada ka choka sana
 
Mkuu umesema ukweli. Hujafa hujaumbika
 
Aisee madela yanawasaidia sana. Pole sana Sister'ngu Rehema. Mungu azidi kujalia afya njema.
 
Itabaki kuwa story tu harudi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…