Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Methodone ni dawa wanayopewa watumia ngada ka tibaMethod one ndio kitu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Methodone ni dawa wanayopewa watumia ngada ka tibaMethod one ndio kitu gani?
Labda ni dawa mpya hiyo! Hakuna dawa inayoitwa methodone kwa ajili ya kuwatibu mateja, ipo methadone ambayo ni mahususi kwa waathirika wa uteja.Methodone ni dawa wanayopewa watumia ngada ka tiba
Picha ya zamani...Mwanamuziki mkongwe nchini, rehema chalamila aka Ray C amemtembelea msanii mwenzie mkongwe nchini lady jaydee na kupeana mawili matatu huku wakifarijiana na kukumbushiana enzi zao, hata hivyo kupitia ukurasa wake wa instagram mwanamuzik lady jaydee amempa pole mwanamuziki mwenzio huyo ambaye alikumbwa na janga la madawa ya kulevya, na kumsihi akaze moyo hili arudi kama zamani waweze kulisongesha gurudumu la muziki pamoja
View attachment 336426
Utakuwa thomaso mkuu. Ni ya mwezi huu na mwaka huu.Nitakuwa wa Mwisho kuamini kwamba hii picha ya mwaka huu.
Tukisema umekurupuka tutakua tumekukosea???! Angalia uzi wa mwaka ganiPicha ya zamani hiyo ray c kwanza hayupo bongo now days
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jde...., namshuru mungu sijajiingiza kwenye madawa ya kulevya,
Rayc,.,.... hata Kama niliingia kwenye madawa Ila kwa Sasa nahitwa mama, mungu ni mwema siku zote.
Yalijili kwenye mtandao wa x zamani Twitter, baada chid kumshauri jde ang'efanya nyimbo za dini.