Picha: Rejeta yangu inamwaga maji kwa presha

Nakumbuka ilikua GX100 ya Rafiki yangu, Bwana yule Gari ilitembea akaanza kuona Moshi... akasimama pale katika Mfuniko wa Rejeta ndo Moshi ulikua unatokea.... Bwana yule si akaufungua Bwana.... kwakweli kulichotokea Uso wake sikuweza kuuangalia mara 2
 
Sehemu gani zinapatikana rejeta mpya au zilizotumika.dar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…