Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,093
- 2,046
Nakumbuka ilikua GX100 ya Rafiki yangu, Bwana yule Gari ilitembea akaanza kuona Moshi... akasimama pale katika Mfuniko wa Rejeta ndo Moshi ulikua unatokea.... Bwana yule si akaufungua Bwana.... kwakweli kulichotokea Uso wake sikuweza kuuangalia mara 2