Picha: Rejeta yangu inamwaga maji kwa presha

Picha: Rejeta yangu inamwaga maji kwa presha

Nakumbuka ilikua GX100 ya Rafiki yangu, Bwana yule Gari ilitembea akaanza kuona Moshi... akasimama pale katika Mfuniko wa Rejeta ndo Moshi ulikua unatokea.... Bwana yule si akaufungua Bwana.... kwakweli kulichotokea Uso wake sikuweza kuuangalia mara 2
 
Umeunguza gasket. Peleka gereji wabadilishe gasket. Pia mwambie fundi apime rejeta kama ni nzima na pia apime mfuniko.

Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba.

Kila mara unapofanya service ya gari fanya nayafuatayo kulinda mfumo wa upoozaji.

Pima rejeta, pima mfuniko, safisha rejeta na badilisha coolant.
Sehemu gani zinapatikana rejeta mpya au zilizotumika.dar?
 
Back
Top Bottom