CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 982
- 3,137
Unawaza ufirauni tuu,Huniwezi mimi mrembo. Utaishia kupata mimba tu na kupoteza marinda
Babu yako anakufa na njaa unaishia kulewa chang'aa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawaza ufirauni tuu,Huniwezi mimi mrembo. Utaishia kupata mimba tu na kupoteza marinda
Pua kama firimbiSawa Beauty
Sawa SuzyUnawaza ufirauni tuu,
Babu yako anakufa na njaa unaishia kulewa chang'aa
Na miguu yako yote ya kushotoSawa suzy
Sawa beautyPua kama firimbi
Sawa bibieNa miguu yako yote ya kushoto
Rubish
Kichwani umebeba ujiiSawa Suzy
Hapo ni gasketi au Cylinder head imepindaWakuu Habari za weekend
Jana nimedrive gari Kwa umbali kama wa kilometres 2,
Nikafungua mfuniko wa rejeta, kilichotokea ni maji kuruka Kwa nguvu Sana kama video inavyoonyesha,
Maswali yangu ni kama ifuatavyo
1 shida ni Rejeta
2 shida ni engine
3 shida ni gasket
4 au shida ni feni zile za kupoza?
Haya maswali 4 ndio mafundi wamesema ndio tatizo kuna mmoja kanambia nishushe injini kabisa
Sasa naomba mawazo kidogo
Hii gari ni NISSANI TEANA 230JM
View attachment 2675046
View attachment 2675047
ULANZI utakumalizaaSawa bibie
Ok baby candyKichwani umebeba ujii
Ok SuzieULANZI utakumalizaa
Ok Beautiful ladyVon_Lufuta njoo hapa uendelee kutukana mana ndio furaha yako.
Uliambiwa usome ukakimbilia kuwinda nyegereOk Suzie
Huo wizi utakuja kuuwawaOk Suzie
🥰🥰 Suzy bwanaUliambiwa usome ukakimbilia kuwinda nyegere
Ok CUTEHuo wizi utakuja kuuwawa
Ndio maana umetengwa kwenye familia kwa uchawii🥰🥰 Suzy bwana
Mi nataka uendelee na matusi.. kama yameisha googleOk CUTE
Kwa gari za siku hizi full aluminium alloys inaweza shida isiwe gasket pekee: head na blocks za aluminium huwa zinapinda zikiwa subjected kwa exess heat. Making them to be useless.Umeunguza gasket. Peleka gereji wabadilishe gasket. Pia mwambie fundi apime rejeta kama ni nzima na pia apime mfuniko.
Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba.
Kila mara unapofanya service ya gari fanya nayafuatayo kulinda mfumo wa upoozaji.
Pima rejeta, pima mfuniko, safisha rejeta na badilisha coolant.