Picha: Rose Ndauka 'hakamatiki'

Picha: Rose Ndauka 'hakamatiki'

We naee ushanigayaaaaa nilisoma koment kule sinta kidogo mbavu zibust,kuna dada alikua anaelezea anavyopenda kuvaa vimini wakati miguu yake ni stik

Kumbe ni mabinamu eeee tugauni tubaya walitotuvaaa

Bina sijakugaya bana. Hahahaha nilisoma ya huyo mwenye tumiguu mwenzangu, nilicheka kiama, watu wana maneno balaa looooh. Wasalimie bwana ake Ashu na yule walioact askari na nurse na baby wake uwiiiiiiiiiii
 
anajifarijiiii for nothing,,,,hata dola 1 ni dola kwiiii kwiiiiii hizo pesa angepanga akaishi na mwanae mama mzima unarudi kwa mama kuishi khaaa???

Wamekutana na shoga ake dida wanajifarijiii teh teh

dida na ndauwandau mabinamu ila kuna kipindi walikua hawaelewani
wamepetana miaka ya hivi karibuni
 
Bina sijakugaya bana. Hahahaha nilisoma ya huyo mwenye tumiguu mwenzangu, nilicheka kiama, watu wana maneno balaa looooh. Wasalimie bwana ake Ashu na yule walioact askari na nurse na baby wake uwiiiiiiiiiii

Hhhhhhhhaaa eti anauliza njia ipi ili anenepeshe miguu kuna mtu akamjibu apande bodaboda sijui bajaji avunjike miguu ndio itajaa nilichekaaaa
 
bina sijakugaya bana. Hahahaha nilisoma ya huyo mwenye tumiguu mwenzangu, nilicheka kiama, watu wana maneno balaa looooh. Wasalimie bwana ake ashu na yule walioact askari na nurse na baby wake uwiiiiiiiiiii

hahahaa kule ni shiidaaa
kuna dada anaulizia mganga ili akamroge bwana amuoe yaani!!
 
hahahaaaa kule ni shiidaaa
kuna dada anaulizia mganga ili akamroge bwana amuoe yaani!!

Nimeiona hiyo et miaka mitatu jamaa hata haongelei ndoa hhhhhhaaaaa, na mnuka mkojo umemsomaa
 
nimeiona hiyo et miaka mitatu jamaa hata haongelei ndoa hhhhhhaaaaa, na mnuka mkojo umemsomaa

hahahaaaa
leo sijaingia ngoja niende yaani kuna vurugu kule
sintah mwenyewe anachambwa hatariii
 
ila sinta hurusha tu koment hata anazochambwa yeye hhhhhhaaaaa

yaani kuna mtu kamwambia nuhu mziwanda anakonda kwa sababu ya mahaba mwa shishi
sintah mjeuri ndo mana anawapotezea mwingine asingeweza
 
Aaaah mwehu yule, ngoja akajifanye kuroga while kuna njemba hazirogeki. Mwishowe atakosa yote kabisaa

Unaenda mroga halaf hasimamishi unArud kwa mganga unakuta keshahamaa,ni upuuzi tu kufikiria madawa madawaa
 
Unaenda mroga halaf hasimamishi unArud kwa mganga unakuta keshahamaa,ni upuuzi tu kufikiria madawa madawaa

Aaah waache tu wahangaike, kama ipo ipo tu. Kazi ya kumtegemea mwanadamu mwenzangu siiwezi
 
Anajifariji tuu kuchukuliwa bwana kubaya..........

Umeona eeh?? Anajaribu kufanya vitu ambavyo bwana ake alikuwa hapendi kufanya ili tu amkere, ila rose mkali bwana yule jamaa alibahatika kumpata wala sio type yake kabisa, rose ni kisu sana
 
Hiyo picha ndio party gani hiyo jamani???Dida kakosa wapambaji?utadhani wanacheza jalalani....

Demu kachanganyikiwa, sasa ivi atamzidi wema kwa scandal maana anakuja kwa kasi vbya
 
alivaa ngozi ya kondoo na yeye ndo wale wale

Kwa yule jamaa rose alifika, maana jamaa alikuwa hatak rose ajihusishe na mambo yeyote na mastaa wenzie, ndio maana alikuwa hasikiki, sasa ivi naona anajifanya kuchetuka ili jamaa akasirike maana anajua bwana ake hapend ajichoreshe ovyo kwenye magazeti
 
Back
Top Bottom