Picha: Rose Ndauka 'hakamatiki'

Picha: Rose Ndauka 'hakamatiki'

Mimi mwenyewe nimeshangaa na hivyo viguu tena looh!
Au labda ni 'diet' si unajua imekua fashion siku hizi....

analea huyo. Amejifungua muda si mwingi sana na stress za kusalitiwa yawezekana ndio sababu ya kumkondesha
 
analea huyo. Amejifungua muda si mwingi sana na stress za kusalitiwa yawezekana ndio sababu ya kumkondesha

Kaisha jamani hadi anatia huruma!
Mimi mwanaume hanipi stress za kihivyo bwana...
 
Hiyo ni party gani ya kufanyia sehemu mbaya vilee hadi kuna maudongo ka uchochoroni???? Khaaaa
Na hivyo vinguo utadhani wameokota yale malonyalonya ya sh.200 mtumbani? Haaah!!!!
 
Hiyo ni party gani ya kufanyia sehemu mbaya vilee hadi kuna maudongo ka uchochoroni???? Khaaaa
Na hivyo vinguo utadhani wameokota yale malonyalonya ya sh.200 mtumbani? Haaah!!!!

Huyo rose ni mtoto wa kigogo ni mswahili typically na dida nae mtoto wa mwananyamara so unategemea wakacheze kiduku masaki? Rose kwao uswahilini na kakulia uswazi yule
 
Hahahaa haaaa mjinga kweli mwenzie anaoa huyo mwingine

Ila inakera mtu mko kwenye uchumba halafu mwenzio anawapa mimba wengine, inauma bhana, ila jamaa angekuwa na pesa kama CK nadhan ata angewapa mimba wanawake mia rose asingeondoka, jamaa mwenyew ata kumnunulia vits rose kashindwa, mtoto mwenyew mkali yule
 
analea huyo. Amejifungua muda si mwingi sana na stress za kusalitiwa yawezekana ndio sababu ya kumkondesha

Nilimshangaa rose kawezaje kutoka na jamaa mburula vile, jamaa shamba halafu linajifanya lijuaji
 
Hawa kila siku wanasema fani yao wanabanwa sana kimapato,halafu hapohapo wao ni mahodari wa kuonyesha kibr ya fwezwa tena dolari wakati watz tunanunua kazi zao kwa tzs na hali kadhalika wasambazaji,au sikuhizi hizi filamu zao zinatokea Hollywood?
 
Mi mwanamke mwenye manyonyo kama makalio ya khadija kopa ndo napenda binamu, mi siangalii sura wala shepu, nyonyo tu

Hahahaaa mbona sielewi sasa?Hadija makalio ni madogo...so unapenda madogo au makubwa?kweli kila mtu na chaguo lake
 
Hahahaaa mbona sielewi sasa?Hadija makalio ni madogo...so unapenda madogo au makubwa?kweli kila mtu na chaguo lake

Makalio ya hadija kopa yametwanyika kama chapati, sio makubwa ila mapana , yani yapo kama flampeni, mi ndo napenda vile
 
Aaaah mwehu yule, ngoja akajifanye kuroga while kuna njemba hazirogeki. Mwishowe atakosa yote kabisaa

nilicheka
kuna mwingine alisema watu8 wa jf unanimaliza
eti akisoma comments zake bas mambo yanaharibika chini
nilicheka jamani!
 
Back
Top Bottom