Picha: Rose Ndauka 'hakamatiki'

Picha: Rose Ndauka 'hakamatiki'

Mi mwanamke mwenye manyonyo kama makalio ya khadija kopa ndo napenda binamu, mi siangalii sura wala shepu, nyonyo tu

Mchukue mashauzi unayapendea kuyanyonya au kuyafanyanye kukupiga piga usoni etiii hhhhhq
 
Binamu wiki ijayo naenda Tanga kuangalia chumba cha kupanga mie dar inshanshinda

Imekushinda nini tena,hamia Mwanza ule sato huko mnajibana kula loo ,mi Napenda Mwanza samaki sanaaaa,kuku wa kienyeji sana,nanenepa tu mieee
 
warumi huyu mwenye hii namba ni nani waweza kumjua uicheki whatsapp 0754559095 ,asije kua Rio paul,fanya fasta unipe umbea mie
 
Last edited by a moderator:
nilicheka
kuna mwingine alisema watu8 wa jf unanimaliza
eti akisoma comments zake bas mambo yanaharibika chini
nilicheka jamani!

Mimi nilicheka kuna mmoja alisema kampenda le mutuz le mburulaz hadi kalowa chini jamani!!!
Kisa ile post aliyoitoa insta kuhusu Sitti
 
mimi nilicheka kuna mmoja alisema kampenda le mutuz le mburulaz hadi kalowa chini jamani!!!
Kisa ile post aliyoitoa insta kuhusu sitti

hahahahas
binamu unaangalia mkasi?
Miss tz mwaka jana kafunika mbaya!
 
hahahahas
binamu unaangalia mkasi?
Miss tz mwaka jana kafunika mbaya!

Mimi tena nikose shoga ang?she is so bright...nimempenda sana....nakuambia anaweza shinda miss world yule nimemkubali sanaaaaaaaa
 
nilicheka
kuna mwingine alisema watu8 wa jf unanimaliza
eti akisoma comments zake bas mambo yanaharibika chini
nilicheka jamani!

Hahahahah watu8 huyu huyu wa jf au sioni vizur??
 
Last edited by a moderator:
Nilimshangaa rose kawezaje kutoka na jamaa mburula vile, jamaa shamba halafu linajifanya lijuaji

teh teh binam, mapenzi ni upofu binam.
Mwenyewe ndo anamuona mjanja wake wa town
 
Umeona eeh?? Anajaribu kufanya vitu ambavyo bwana ake alikuwa hapendi kufanya ili tu amkere, ila rose mkali bwana yule jamaa alibahatika kumpata wala sio type yake kabisa, rose ni kisu sana

Mh kweli kila mtu na macho yake
 
Kuachwa katika mazingira usiyoyategemea ni kubaya sana,lazima uwe kichaa uliyependeza
 
Hiyo picha ndio party gani hiyo jamani???Dida kakosa wapambaji?utadhani wanacheza jalalani....

Nami nilitaka kuhoji hilo! Halafu ona vimapaja vyao kama kuku wangu. Hivi hawa ndo watu wanawapapatikia? Ndo maana jamaa kapiga chini
 
Back
Top Bottom