Picha: Shamila (Shamy_BK) ndio mrembo mwenye shepu kwasasa bongo

Picha: Shamila (Shamy_BK) ndio mrembo mwenye shepu kwasasa bongo

Uko Telegram kuna wauzaji waliochoka siamini kama anaweza kujishusha vyeo kujiuza kule. Unaoona wanapost picha yake ni wale madarali wanaojifanya wana connection ukiwatumia elfu 8 yao wanakupa namba ya tapeli naye anaendeleza chain ya utapeli.

Kuhusu duka sijawahi liona wala sijui ila kuna wauzaji kule Telegram wana IG account zinazodai wanauza nguo. Lolote lawezekana

Telegram utapeli mwingi, ukiingia kichwa kichwa umeliwa.
 
Huyu akisema tuma na ya kutolea namwambia kwann nisitume na ya kununulia simu ya kutolea hiyo hela kabisa..... Yaani IPhone 12 ili utumie kutolea hiyo hela...... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila shida wanaokuwa wazuri hivi wanakuwaga hawana akili za maisha. Wanakuwa na akili za kindezi sana.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app

Formula ni kuwa, demu mwenye kalii kubwa hana akili. Ukibisha andamana
 
Ila Poshy kama hajazaa yaani body bdo iko njema mnoo

6F0F657E-8597-47A2-BFE3-525F7F74053B.jpeg
 
Mmmmmmhmn we nae kama ni wivu basi upunguze....... Kama kusoma haujui na macho hayaoni...... Khaaaaaah

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app

Hamna kitu hapo mkuu,wivu wa nini waka mimi ni mwanamme? Mimi ndio nathaminisha ,kwa maelezo yaliyotoka kwamba ndio anakimbiza na jinsi alivyo si kweli kabisa kuna mademu wana shape za ukweli flat tummy bastola za ukweli na inye gwedegwede ila huyo wako ana kitambi,bastola hana ila inye ipo.
 
Back
Top Bottom