PICHA: Tofauti 17 kati ya matajiri na masikini

PICHA: Tofauti 17 kati ya matajiri na masikini

Mwandishi anauza vitabu vya jinsi ya kuwa tajiri ingawa yeye na masikini kama mimi, ni ile ya Mganga hajigangi
Lakini mkuu mbona unamuhukumu kwani wewe jamaa unamfahamu physical?

Kwani duniani hakuna waliouza vitabu wakawa matajiri au kwa sababu jamaa ni Mtanzania mwenzako unamchukulia poa?kuya-appreciate mawazo ya mwenzako nao ni utajiri so hata ulivyomkataa hapa hata hoja zake hapo juu umezikataa na hiyo ameiandika ktk hoja #6 rudi isome utaelewa.
 
Lakini mkuu mbona unamuhukumu kwani wewe jamaa unamfahamu physical?

Kwani duniani hakuna waliouza vitabu wakawa matajiri au kwa sababu jamaa ni Mtanzania mwenzako unamchukulia poa?kuya-appreciate mawazo ya mwenzako nao ni utajiri so hata ulivyomkataa hapa hata hoja zake hapo juu umezikataa na hiyo ameiandika ktk hoja #6 rudi isome utaelewa.
Asante sana Mkuu,
Haya haya yakiandikwa na kina Robert Kiyosaki wanayashangilia, lakini tukiyaandika sisi watanzania wenzao wanatubeza.
Tumeshawazoea, tunawapotezea na kwenda na wale wanaojua nguvu ya maarifa katika kujenga maisha bora.
 
Hivi hamna ngazi ya chini zaidi ya masikini maana nimesoma hadi hizo tabia za masikini nimeona simo🐒
 
Hapo kwenye chuki kwa matajiri..nimeona watu wanavyomchukia ROSTAM, sababu zao ni za kichawi chawi tu...maskini ni wengi
 
Sikujua maprofesa nao wanajinadi hivi kama machinga

Anyway nilivyoelewa mimi ni kua masikini atataka adhibitishiwe lile neno mfano kautoa hatupo tayari kujifunza mambo mapya kisa evidansi

Ok wewe kama unataka ununue we nunua
 
Back
Top Bottom