mimi ni makini n abest ktk kuangalia hiden details ktk picture na hapa ni mequote ili ukija punguza iwe too late picture zako tuu zinaonyesha kukata tamaa kwako.magufuli na ccm kwa ujumla.
Uliposomea TCU au NACTE wakawanyang'anye leseni. Hilo jicho lako halioni wala kusoma huo umati?mimi ni makini n abest ktk kuangalia hiden details ktk picture na hapa ni mequote ili ukija punguza iwe too late picture zako tuu zinaonyesha kukata tamaa kwako.magufuli na ccm kwa ujumla.
Rais wetu mpendwa wa awamu ya 5 ndugu JM mungu amjalie afya njema, busara ili atuongoze vyema.
Mkutano wa mh wenje ulikuwa na watu wengi mara mbili zaidi ya huo wa rais wa ccm
Mbona huo umati wenyewe siuoni au baadhi ya wakazi wa Mwanza ni invisible kama majini na mashetani.....
Umeshasema Wafuasi Wa Ccm Sasa Wewe Ulitalajia Wafuasi Wa Ccm Wampokee Slaa? Na Hao Wanaccm Wapo Myaka Yote Na Sasa Hivi Wanapungua Kwa Kasi Wengine Wanakufa Wengine Wanahama, Huku Vijana Wanaofikisha Miaka 18 Wote Wanaibukia Chadema, Je! Mwaka Huu Mtapona?
Wenje tu alifunika CCM kweli mmechoka
Mcheza kwao hutuzwa.. ! Magufuli asiende sana mwanza ataonekana ni mbaguzi,...bora angeanzia nyanda za juu kusini.
Mnaboa mnaokopi mapichapichaumati ukowapi .yaani huu ndo umati .mpiga picha atakuwa kavunjika mgongo .akili za panzi
Lowasa mwenyewe kapasuka atawezaje kupasua chama kwanza tunataka aanze kulipa kodi na zile biashara zake haramu tunaanza kudili naye atakufa mapema sana.
Huo ndio umati wa watu wa mwanza??? Bac ccm wanakazi kubwa sana
Ccm kwenye kampeni zao huwa wanapata shida sana inawalazimu waanze kukodi watu wahudhulie mikitano yao hii inaosheja kiasi gani hawa kubariki na hilo nao wanalijua vizuri
Mm kuna jamaa yangu mmoja wa ccm alilazimishwa akachukue fomu ya kugombea ubunge ccm
Yule jamaa nilivyo muuliza jamaa kwanini umeamua hivyo na haugopi kuabika kwa kwasababu kwa namna yoyote huwezi kupita piga ua hata iweje
Jamaa kaniambia mm mwenyewe kinaniuma sana kijana kama mm kuwepo ccm mm kwa nje naonakana ccm lakini roho yangu yote ipo chadema nafanya yote haya ili kuwafurahisha mabosi wangu na kulinda kibarua
Hapo kwenye huo mkutano sio wote wanaipenda ccm ila wengi tu wamelazimishwa. Na usione matabasamu yote hayo ni matabasamu ya kununuliwa.