Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #21
Kwa hiyo unataka tuendelee kuvaa magome ya miti.Mbona zamani walikuwa wanavaa magome ya miti hata hivyo mimi siungi mkono matumizi ya bidhaa za watu wengine inawezekana hapo ulipo unatumia simu aliyotengeneza mchina, chupi,kandambiki, mashuka tv,rm radio, (subwoofer), kwa ufupi chunguza vitu tunavyotumia vinatoka nje ya nchi inamaanisha mshamba wa nchini mwetu ni yulebanaye hakikisha nchi zingine zina neemeka kwa fedhabzetu, kwakweli ni ushamba uliokubuhu kutumia vitu vilivyo tangenezwa ama kuundwa na watu wengine badala ya vya kwetu
Ukoloni mambo Leo, (Neocolonialism), kwasasa tunatawaliwa kifikra na kiuchumi, tunatumia pia tekinolojia za watu wengine
Uwe unao a aibu basi hata kidogo. Siyo kwa sababu kila mmoja anakuona punguani basi unaamua kuandika ujinga ujinga kila mudaEmbu acha vichekesho basi. Hivi hayo ndio mavazi ya kuonea wivu? Utaiga nini hapo sasa?
Mimi siyo mjinga kama weweUwe unao a aibu basi hata kidogo. Siyo kwa sababu kila mmoja anakuona punguani basi unaamua kuandika ujinga ujinga kila muda
Hakuna mwenye kuvaa kishamba hivyo
Kwa hiyo unataka tuendelee kuvaa magome ya miti.
UWT hawana akili kabisa
Uwe unaona aibu basi hata kidogo. Siyo kwa sababu kila mmoja anakuona punguani basi unaamua kuandika ujinga ujinga kilaEmbu acha vichekesho basi. Hivi hayo ndio mavazi ya kuonea wivu? Utaiga nini hapo sasa?
Uwe na adabu dogoUWT hawana akili kabisa
Labda huyu sokwe anavaa kisasa kwa mujibu wa UWT Lucas Mwashambwa
Leo job saa ngapi? wamanchi wanakosa huduma etiUwe na adabu dogo
Si wangempima kabla ya kumnunulianachoelewa hizi nguo kanunuliwa na kamati ya fedha. Sio za kutoka nazo home. Hii inajidhihilisha hata nguo ya heche. Hizi nguo za kuletewa tena ni imported kkoo. Sio taylor made bongo
Nitakupa mdogo wangu na itawekwa Kariakoo kama lile Bango la yanga kuifunga Simba Tano kwa moja😹😹😹 Huu sasa uchokozi..!!
Hebu kaka Luca weka pic yako tuone unavyonyuka pamba bling bling 🤣
Shambani muda wote na sipangiwi na mtu.Leo job saa ngapi? wamanchi wanakosa huduma eti
Acha ujinga hudumia wananchi aseeShambani muda wote na sipangiwi na mtu.