dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Mkutano: Maelfu ya watu Wilayani Misungwi wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Tundu Lissu
Nitaweka link ili mumfuatilie live akiwa Misungwi muda huu.
Wakuu najaribu kuweka link inagoma ila mkutano upo live ndani ya Dar mpya online tv
Lissu anasema hivi
1. Wagombea wote wa Chadema ngazi ya udiwani na Ubunge Misungwi walienguliwa kihuni na tume baada ya jaribio la kuwateka kushindikana.
2. Tume wanatulazimisha tupigane na tutapigana kwa ajili ya haki, nasema tutapigana.
3. Najua kuwa tutashinda kwa kishindo uchaguzi huu, ole wao tume watuibie ushindi wetu nasema Ole wao!
4. Tundu Lissu: Tukiingia ikulu tutaweka katiba mpya ambayo pamoja na mambo mengine itafutilia mbali hii tume ya uchaguzi iliyopo.
5. Lissu: Nikiwa Rais viongozi wa serikali za mtaa na vijiji ambao hawakupatikana kihalali wataondolewa na uchaguzi kufanyika upya chini ya tume mpya ambayo ni huru.
Lissu anaonyesha kukerwa na wagombea kuenguliwa na anasema tume inawalazimisha wapigane na wapo tayari!
Bado anaendelea, fuatilia live ndani ya Dar mpya
Nitaweka link ili mumfuatilie live akiwa Misungwi muda huu.
Wakuu najaribu kuweka link inagoma ila mkutano upo live ndani ya Dar mpya online tv
Lissu anasema hivi
1. Wagombea wote wa Chadema ngazi ya udiwani na Ubunge Misungwi walienguliwa kihuni na tume baada ya jaribio la kuwateka kushindikana.
2. Tume wanatulazimisha tupigane na tutapigana kwa ajili ya haki, nasema tutapigana.
3. Najua kuwa tutashinda kwa kishindo uchaguzi huu, ole wao tume watuibie ushindi wetu nasema Ole wao!
4. Tundu Lissu: Tukiingia ikulu tutaweka katiba mpya ambayo pamoja na mambo mengine itafutilia mbali hii tume ya uchaguzi iliyopo.
5. Lissu: Nikiwa Rais viongozi wa serikali za mtaa na vijiji ambao hawakupatikana kihalali wataondolewa na uchaguzi kufanyika upya chini ya tume mpya ambayo ni huru.
Lissu anaonyesha kukerwa na wagombea kuenguliwa na anasema tume inawalazimisha wapigane na wapo tayari!
Bado anaendelea, fuatilia live ndani ya Dar mpya