Uchaguzi 2020 PICHA: Tundu Lissu Misungwi, maelfu ya watu wakishuhudia mkutano wake

Kikwete na Mwinyi mko wapi, jamaa yenu anapigwa left and right jab
 
Misungwi inawapiga kura milioni mbili na chadema hawana hata mgombea mmoja hata mwenyekiti wa mtaa hawana,
 
Subirini wiki mbili za mwisho wa October, PANDORA BOX litafunguliwa lenye nyeti za mgombea wengi watu lazima wajue INTEGRITY ya boss wenu siyo kuongopea anataka kuwa rais wakati makando kando kibao. Hiyo inaitwa niguse NINUKE
 
Subirini wiki mbili za mwisho wa October, PANDORA BOX litafunguliwa lenye nyeti za mgombea wengi watu lazima wajue INTEGRITY ya boss wenu siyo kuongopea anataka kuwa rais wakati makando kando kibao. Hiyo inaitwa niguse NINUKE
... zitawekwa hapa akaunti za off-shore banks za bwana yule na genge lake hutaamini.
 

Memory hakuna hapo, mitalimbo ilishafumua
 
Tengua uteuzi wa 2015....tafadhali sana twende sawa
Tengua kusukumiziwa huko,hakuna Urais kingekewa.Tunataka viongozi wa kutuvusha katika kipindi cha mpito kuelekea Tanzania Mpya.Tunazo Raslimali zote tunazohitaji kuwa Taifa la Dunia ya Kwanza-Developed Country,we have everything we need to get there except for Rightful True Leardership and Proper Constitution to do so.Let's utilize fully the Only&The only oppurtunity we have=General Elections on 28th October 2020.
 
Iv nyie kwenye Mahesabu yenu Maelfu ya watu wanaanzia ngap?
Mnasema Maelfu wakati uhalisia wa watu hata Elfu moja hawafiki, Iv mnamdanganya nani?
Au mnataka kusema mliibiwa kura?
Kwann mtumie Picha za Mwaka 2015 wakati wa Lowassa?
Naona kifo Chenu kimefika mshaanza kutapatapa.
 
Iv nyie kwenye Mahesabu yenu Maelfu ya watu wanaanzia ngap?
Mnasema Maelfu wakati uhalisia wa watu hata Elfu moja hawafiki, Iv mnamdanganya nani?
Au mnataka kusema mliibiwa kura?
Kwann mtumie Picha za Mwaka 2015 wakati wa Lowassa?
Naona kifo Chenu kimefika mshaanza kutapatapa.
 
yule mnyeti kapitishwa bila kupingwa mtoto wa dada uale ,agufu;i rushwa na laana ya ukoo mzima kiama chao kina kuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…