Kweli huyu mkuu anapendwa sana, huku watu wa wakimdis RC makonda hiyo ni picha ya watu waliokua wanajiselfie na Rc huyo huku wakitamani awe RC wao,..
Wasioweza kutambua mamboHao wanaogombea kupiga picha naye nao ni akina Bashite tu.
Hapo wanatabasamu kwa furaha ya wekundu wa Msimbazi mifukoni.wamelipwa hao niamini mimi
Ulikuwepo??wamelipwa hao niamini mimi
Yap, nililipwa...Ulikuwepo??
Hahahaaa from hero to zero siku hizi hana tofauti na harmorapa.Kweli huyu mkuu anapendwa sana, huku watu wa wakimdis RC makonda hiyo ni picha ya watu waliokua wanajiselfie na Rc huyo huku wakitamani awe RC wao,..
ndioUlikuwepo??
Acha unafikiYap, nililipwa...
Sawa endelea kuropokandio
Mbona povu mzee...Acha unafiki
Hapo namuona Cocochanel, Lizaboni na ruttashobolwa huyo mwenye jezi ya njano. Wametokelezea lakini
SawaMbona povu mzee...
Donge lilikupita hivi hivi...