Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Teh,teh,teh!!!~~~'mazuzu team'.
Nakuona mpo na mheshimiwa Daudi Bashite hapo.
Kweli huyu mkuu anapendwa sana, huku watu wa wakimdis RC makonda hiyo ni picha ya watu waliokua wanajiselfie na Rc huyo huku wakitamani awe RC wao,..
Huwezi jua kwanini wanapiga picha nae. Kupiga picha na kitu au mtu ni documentary tu. Unaweza baadae ukasimulia wajukuu mambo kadha wa kadha uliyoexperience duniani.. hahahahaHao wanaogombea kupiga picha naye nao ni akina Bashite tu.
Kama ni huko wala sishangai, kwani ndiko mtaji wa chama ulipoHapo ni Idodomya
Kwa hisani ya bingwa wa kufoji vyeti TanzaniaWatu Wenyewe ni sita tu na bado wamelipwa pesa za kufoji picha.
Hiyo jamaa kwa jinsi inavyochukiwa itakuwa hata mchanga wa nyayo zake ni dili.!Kweli huyu mkuu anapendwa sana, huku watu wa wakimdis RC makonda hiyo ni picha ya watu waliokua wanajiselfie na Rc huyo huku wakitamani awe RC wao,..
Ninakuona hapo kwa picha kwa mbele na wigi lako baaaaya.Kama wewe ni zuzu usifikirie wengine pia.
Wivu umekujaaa, jipige vibao vya usoni
Makonda oyeeeee
Ninakuona hapo kwa picha kwa mbele na wigi lako baaaaya.