Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Ndio maana.., kumbe hao vimayala vyake vipo hapa.. Ukimgusa tu vinaporomosha matusi.

Aibu yao.

At this very young age ametupa mbegu ka panya. Hasara kwa taifa..

mpaka akija kuoa atakuwa kashatimiza idadi ya wachezaj wa mpira.mkewe kaz anayo ya kulea watoto ambao si wake
 
mpaka akija kuoa atakuwa kashatimiza idadi ya wachezaj wa mpira.mkewe kaz anayo ya kulea watoto ambao si wake

Mwanamke gani atakubali olewa na ME kama huyu.
Kashajiharibia fyucha.. Ataendelea tapanya mbegu tu mtaani..
 
wale wataalam wa kumpangia daimond shamba la kulima kama vile ninyi ndio maafisa kilimo wa serikali mkuje hapa mniambie mlikuwa wapi mpaka mkaacha dushe la dushelele wenu likalima kina kona ya mji.

Big SHAME,..!!!
 
unapaswa kupata mtoto pale tuu unapokuwa tayari, u know the meaning of wasafi??? ni mtu makini, anaejielewa, asiyeloweka kwani anajali afya yake na ya mwezi wake, anayejua anayejua athari za kutawanya mbegu kama shamba la ulezi, kwani anajua haki za watoto ni kulelewa katika misingi bora inayosimamiwa na baba na mama. sasa daah!! am very very disapointed na huyu king wenu kwa kweli. hivi mliokuwa karibu nae analea yupi sasa kati ya hao???
Hivi kwanza anathubutu vipi kujiita king??? king gani anagawa dudu kama pipi kijiti, eti kioo cha jamii. what a big shame??

Kama hujui maana ya King kamuulize King Mswati.
 
Mwanamke gani atakubali olewa na ME kama huyu.
Kashajiharibia fyucha.. Ataendelea tapanya mbegu tu mtaani..

unaanza kujiuliza nikiolewa mtoto wangu atakuwa mtoto wa mnne, na ili watoto wawe karibu na baba yao inabidi uwachukue watoto wa wanawake wenzangu nilee mimi, kiruuuuuu!!! lazima nitoke nduki
 
Unaona akili zao zilivyo... Majanga tupu.

Anataka mlinganisha KIBA na MFALME MSWATI..!!?!@*#!

HAWA JAMAA SIJUI WANAFIKIRI KWA KUTUMIA KIUNGO GANI CHA MWILI.

Atakuwa anamzungumzi mswati wa manzese
 
sio fair sana anawatengenezea maisha magumu hao wanawe
 
Back
Top Bottom