Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Tehh tehh tehh tehh,

Kwanza hongera KING,maana hujabambikwa yaan kila mtoto hapo nakuona wewe.

Alafu umeudhihirishia uma kuwa wewe sio nyoka wa kibisa,una sumu yenye madhara haswaa.

Tulelee tuje tukupe mahari yako.
 
Somebody wanna create a mightiest army here..by using his sperms. .
 
sipati picha kama ni daimond ndio angekuwa ametotosha wanawake watatu tofauti mtaa wa pili wangemuita malaya kwa herufi kubwa kiasi gani???
Halafu wengine wanaoshikia bango umalaya wa mwanaume mwenzao, nao ni wanaume utafikiri wanaumia na wanataka wamegwe wao!!! Yaani midume mizima mnashinda kwenye mitandao kushikia bango umalaya wa mwanaume mwenzenu!!!! Mbaya zaidi... midume hiyo hiyo bila aibu utaisikia Diamond hana uwezo wa kupiga mimba.... MWANAUME kabisa, unatembea pumb'u zinagongana kwenye chupi unakesha kwenye mitandao kutangaza ugumba wa mwanaume mwenzako ambao hata hivyo wala huna ushahidi kwamba hana uwezo wa kupiga mimba... God forbid!
 
Unaona akili zao zilivyo... Majanga tupu.

Anataka mlinganisha KIBA na MFALME MSWATI..!!?!@*#!

HAWA JAMAA SIJUI WANAFIKIRI KWA KUTUMIA KIUNGO GANI CHA MWILI.
Hawa karibu wote mie nimeshawapuuza... ni hodari tu wa kushadadia maovu ya wenzao utafikiri wenyewe wasafi kumbe wengine inawezekana ni mbwa huyo Diamond afadhali maradufu....
 
ninaanzaje kukujua of coz ninakuskia tu kuna tatizo kwani???

Kuna tatizo kwakweli, na ndio maana unadhani mi ni mshari mwenzio! Ila sio mbaya tukienda sambamba!

umeonaaee!!! hapa hutawaona wakileta pua nakwambia wamefyata mkia fyataa, kucha kutwa kumuita almas wa watu malaya, kumbe kuna malaya wenye mpaka identity huku, haya wakuje wachonge midomo yao hapa

We nae ni wa kuita wenzio malaya?? Heeeeh mabwaku haya!!!
Siku ile we umeitwa voda fasta tu ilikuwa shughuli, ulilalamika mpaka ukaombwa msamaha hapa ila kutukana wenzio unaona raaaahaaa!!!!

Unaona fahari sana kuanzisha ligi zisizokuwa na maana eeeh? Kama kushangaa mngeanza kwa kujisonya kwanza nyie mlomuitaga Ali kiba shoga kumbe dume la mbegu na si kutualika sie au kinakuuma wewe vodafasta jimama ulielalwa one night stand then you were dumped wala usiachiwe hata kambegu kamoja ka kusingizia maana ndo zenu vodafasta pale mnaponyukwa mikwaju ya maana mkatamani kurudiwa lakini ndo basi tena hamna jinsi zaidi ya kuleta longolongo.

Looooh eti wamefyata mkia, kwa kumuogopa nani vile??!! Ukiona watu wamekaa kimya hawajaamua and probably wamepuuzia so waache kama walivyo na si kuleta jeuri kwa kuprovoke watu ukidhani labda wameogopa!

Btw; ndo nshaleta pua yangu namna hiyo ready to flow with you my twin bi.tc.h!
 
@Avemaria , do you remember this my dear:
Inaonesha umejidhatiti kwa hilo.
Kwa mtazamo wangu it does not sound kwa sababu kuna sehemu zingine huwa nakuona unakomaa tu unnecessarily ilhali ulitakiwa upite kama hujaona vile.

Ok....its your life/choice anyway!
Nikakujibu:
KUna sehemu huwa huwa unaona nazikomalia kivipi?? Kwanza huwezi hata mara moja kunikuta na-quote message isiyonihusu nikaanza kutoa lugha chafu... popote nilipotoa lugha chafu lazima, I REPEAT, LAZIMA Mtu atakuwa ameni-quote tena wakati mwingine kwa message ambayo wala hujamwandikia yeye na wala si ya kumchukiza yeyote lakini bado anao-opt kuku-quote na kukutukana.... unamkanya kuacha matusi lakini bado anaendelea, come on... am not that good guy!!! Siwezi kujifanya muungwana kiasi hicho ili mradi tu nionekane muungwana wakati moyoni naumia!! And you know what, kama hayajakukuta ni rahisi sana mtu kusema kama unayosema lakini trust me, siku yakikukuta utakuwa mtu mwingine... humu jamvini kuna watu nawakubali... siwafahamu but they seem to be very decent lakini kuna siku nimeshawahi kuwashuhudia ustaarabu umewashinda... mtu anaibuka tu from nowhere anaanza kukutukana... ombea tu yasisikukute lakini inakera!! Wapo watu ambao hata wakikutukana unaweza kujiuliza kulikoni, labda tu huyu leo ameamka vibaya au kweli umemkera lakini kuna wengine hiyo ndo kazi yao... yaani unajua kabisa kwamba ana bifu na wewe kwahiyo akikukuta, iwe umetaja yeye au hujamtaja, lazima akutukane!! Mimi ni mwanaume niliyekamalika idara zote... kwahiyo hawezi mtu kuibuka from nowhere halafu aseme naf'irwa na Diamond halafu eti nipotezee tena mbaya zaidi, wakati ameshasema tena hivyo siku chache tu ziizopita wakati hujamfanya chochote!!!!
Kuhusu kujizatiti... you're right 101%... NIMEGHAILI kujifanya muungwana hususani kama ushe*nzi unafanywa na mtu huyo huyo kila wakati hata kama umeshamkanya kwamba aache matusi!!
Lakini na wewe leo badala ya kupita tu, cheki hapa:
Kuna tatizo kwakweli, na ndio maana unadhani mi ni mshari mwenzio! Ila sio mbaya tukienda sambamba!We nae ni wa kuita wenzio malaya?? Heeeeh mabwaku haya!!! Siku ile we umeitwa voda fasta tu ilikuwa shughuli, ulilalamika mpaka ukaombwa msamaha hapa ila kutukana wenzio unaona raaaahaaa!!!!Unaona fahari sana kuanzisha ligi zisizokuwa na maana eeeh? Kama kushangaa mngeanza kwa kujisonya kwanza nyie mlomuitaga Ali kiba shoga kumbe dume la mbegu na si kutualika sie au kinakuuma wewe vodafasta jimama ulielalwa one night stand then you were dumped wala usiachiwe hata kambegu kamoja ka kusingizia maana ndo zenu vodafasta pale mnaponyukwa mikwaju ya maana mkatamani kurudiwa lakini ndo basi tena hamna jinsi zaidi ya kuleta longolongo.
Siku niliyokuwa nimewaka humu jamvini, ni pale ugomvi wa humu jamvini akatokea mpumbavu akafikia kumuita mama yangu mzazi kwamba changu doa... just imagine, ubishi wa JF mtu anamwingiza hadi Bi Mkubwa aliye nyumbani ambae hata hiyo Jamii Forums haijui... lakini uliniona ni kama mtu ninayekomalia mambo unnecessarily lakini wewe leo yamekukuta wewe binafsi, wala hajatajwa mama yako aliye nyumbani, cheki mitusi iliyokutoka hiyo!!!!!

Nimekukumbusha hayo ili ufahamu usidhani kwamba mtu siku anapo-panic na kuja juu basi ukaona huyo ni mkorofi mpenda shari na ndio maana nikakuambia wazi kwamba, haya mambo kama hayajakukuta ni rahisi sana kumuona mwingine ni mpenda shari!!

Binafsi, mimi na wewe zamani kidogo tuliwahi kutofautiana humu... tena in fact, sio kutofautiana, ilitokea lugha gongana lakini wewe ulishindwa kunielewa lakini pamoja na kufahamu kwamba sikukosa isipokuwa ulishindwa tu kunielewa, lakini bado nililazimika kuja PM na ku-apologize for misunderstanding!!
 
Kuna tatizo kwakweli, na ndio maana unadhani mi ni mshari mwenzio! Ila sio mbaya tukienda sambamba!



We nae ni wa kuita wenzio malaya?? Heeeeh mabwaku haya!!!
Siku ile we umeitwa voda fasta tu ilikuwa shughuli, ulilalamika mpaka ukaombwa msamaha hapa ila kutukana wenzio unaona raaaahaaa!!!!

Unaona fahari sana kuanzisha ligi zisizokuwa na maana eeeh? Kama kushangaa mngeanza kwa kujisonya kwanza nyie mlomuitaga Ali kiba shoga kumbe dume la mbegu na si kutualika sie au kinakuuma wewe vodafasta jimama ulielalwa one night stand then you were dumped wala usiachiwe hata kambegu kamoja ka kusingizia maana ndo zenu vodafasta pale mnaponyukwa mikwaju ya maana mkatamani kurudiwa lakini ndo basi tena hamna jinsi zaidi ya kuleta longolongo.

Looooh eti wamefyata mkia, kwa kumuogopa nani vile??!! Ukiona watu wamekaa kimya hawajaamua and probably wamepuuzia so waache kama walivyo na si kuleta jeuri kwa kuprovoke watu ukidhani labda wameogopa!

Btw; ndo nshaleta pua yangu namna hiyo ready to flow with you my twin bi.tc.h!

waaala sikuja kishari, labda wewe ndio unipokee kishari, jf ni pahala la kupashana habari, habari zenyewe zaweza kuwa ngumu au nyepesi kuzielewa itatokana na uwezo wako wa kuzichambua
 
@Avemaria , do you remember this my dear:
Nikakujibu:Lakini na wewe badala ya kupita tu, cheki hapa: Siku niliyokuwa nimewaka humu jamvini, ni pale ugomvi wa humu jamvini akatokea mpumbavu akafikia kumuita mama yangu mzazi kwamba changu doa... just imagine, ubishi wa JF mtu anamwingiza hadi Bi Mkubwa aliye nyumbani ambae hata hiyo Jamii Forums haijui... lakini uliniona ni kama mtu ninayekomalia mambo unnecessarily lakini wewe leo yamekukuta wewe binafsi, wala hajatajwa mama yako aliye nyumbani, cheki mitusi iliyokutoka hiyo!!!!!

Nimekukumbusha hayo ili ufahamu usidhani kwamba mtu siku anapo-panic na kuja juu basi ukaona huyo ni mkorofi mpenda shari na ndio maana nikakuambia wazi kwamba, haya mambo kama hayajakukuta ni rahisi sana kumuona mwingine ni mpenda shari!!

Binafsi, mimi na wewe zamani kidogo tuliwahi kutofautiana humu... tena in fact, sio kutofautiana, ilitokea lugha gongana lakini wewe ulishindwa kunielewa lakini pamoja na kufahamu kwamba sikukosa isipokuwa ulishindwa tu kunielewa, lakini bado nililazimika kuja PM na ku-apologize for misunderstanding!!

Mkuu hivi unadhani kuitwa malaya ni issue tena na Paula kilaki?
Ila nimefanya vile alivyokuwa anataka na ninadhani kaelewa hata mtu yeyote aliyetajwa pale keshaelewa jibu langu.
Bte, huu ni mwendelezo wa safari ndefu mkuu wala haikutokea ghafla kama ajali.
 
Last edited by a moderator:
@Avemaria , do you remember this my dear:
Nikakujibu:Lakini na wewe badala ya kupita tu, cheki hapa: Siku niliyokuwa nimewaka humu jamvini, ni pale ugomvi wa humu jamvini akatokea mpumbavu akafikia kumuita mama yangu mzazi kwamba changu doa... just imagine, ubishi wa JF mtu anamwingiza hadi Bi Mkubwa aliye nyumbani ambae hata hiyo Jamii Forums haijui... lakini uliniona ni kama mtu ninayekomalia mambo unnecessarily lakini wewe leo yamekukuta wewe binafsi, wala hajatajwa mama yako aliye nyumbani, cheki mitusi iliyokutoka hiyo!!!!!

Nimekukumbusha hayo ili ufahamu usidhani kwamba mtu siku anapo-panic na kuja juu basi ukaona huyo ni mkorofi mpenda shari na ndio maana nikakuambia wazi kwamba, haya mambo kama hayajakukuta ni rahisi sana kumuona mwingine ni mpenda shari!!

Binafsi, mimi na wewe zamani kidogo tuliwahi kutofautiana humu... tena in fact, sio kutofautiana, ilitokea lugha gongana lakini wewe ulishindwa kunielewa lakini pamoja na kufahamu kwamba sikukosa isipokuwa ulishindwa tu kunielewa, lakini bado nililazimika kuja PM na ku-apologize for misunderstanding!!

Mkuu hivi unadhani kuitwa malaya ni issue tena na Paula kilaki?
Ila nimefanya vile alivyokuwa anataka na ninadhani kaelewa hata mtu yeyote aliyetajwa pale keshaelewa jibu langu.
Bte, huu ni mwendelezo wa safari ndefu mkuu wala haikutokea ghafla kama ajali.
 
Last edited by a moderator:
waaala sikuja kishari, labda wewe ndio unipokee kishari, jf ni pahala la kupashana habari, habari zenyewe zaweza kuwa ngumu au nyepesi kuzielewa itatokana na uwezo wako wa kuzichambua
angalia neno malaya nimelitumiaje kwenye hoja zangu, dont think nimekurupuka, diamond kaitwa malaya mara ngapi na team kiba? huku mkimtumia kiba kama mfano wa kuigwa kuna ni star asiyekuwa na skendo? kuwa umaarufu wa mondi hutokana na kubadili wanawake mkimtofautisha na kiba kuwa yeye hanaga ujinga wa kubadili wanawake? sasa kwa kubase kwenye picha tangulizi hapo juu ndio maana nimewaita hapa mje mjireveaw kwa maneno yenu ya kashfa mliokwisha mtukana diamond na wanawake zake, then ndio muwe na nafasi nzuri ya kutuambia kati ya kiba na almas nani malaya zaidi ya mwenzake based on wanawake waliokwisha tembea nao na evidance zinazoonekana.
 
Mkuu hivi unadhani kuitwa malaya ni issue tena na Paula kilaki?
Ila nimefanya vile alivyokuwa anataka na ninadhani kaelewa hata mtu yeyote aliyetajwa pale keshaelewa jibu langu.
Bte, huu ni mwendelezo wa safari ndefu mkuu wala haikutokea ghafla kama ajali.
Haya... sema na mimi cjui vipi; manake naanza na kukushuana badala ya kusalimiana... hili jamvi hili; cku hizi inabidi niingie kwa machale manake nimeshaona hata wanaume cku hizi kwa mbaaaaaaaaaaali, tunaiga tabia zenu akina dada! Usishangae hili jamvi dume likaanza kusema "halo haloo, mtatuambia nini, jamaa ndo mwenyewe, utan'taka!" mnh... God Forbid... Heri ya Mwaka Mpya Avemaria
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom