Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilishaachana naye lakini naona kaamua kukomaa na mimi.
Mi nilishaachana naye lakini naona kaamua kukomaa na mimi.
Halafu ujue nasubiri yale maombi yako. Hebu fanya haraka basi kabla ofa haijaisha muda wakeBasi mkaushie..
Halafu ujue nasubiri yale maombi yako. Hebu fanya haraka basi kabla ofa haijaisha muda wake
Nakuambia hivi, ungejua source ya hiyo message mwenyewe ungeona aibu... in short unajichoresha jombaa! Kwenye post nimekuandikia: "My respect kwa huyo uliyem-quote siwezi kukuambia msingi wa hiyo post uliyo-quote manake kama ungefahamu wala usingeandika ulichoandika" Ungekuwa smart enough ungejiuliza kwanini nimeandika hivyo matokeo yake, kama kawaida yako unaendelea kung'ang'ania treni uliyoiparamia kwa mbele! Labda nikukumbushe alichosema ambae nilimwandikia post:Get a life, wewe hii conversation inakuhusu? Au wewe ni geni? Angalia hizo kanga zinakupeleka pabaya sana. Halafu kama umetafuta kanga usidhani kila mtu anafanya mambo hayo hayo.
Endelea kufanya kazi ya mwajuma.
Mwenyewe kaielewa post na ameiona haina utata wewe ambae sio mlengwa umeshupalia... utofauti gani basi na hao akina Mwajuma?Jamani mbona mi niliielewa kwani na hii nayo ina utata?
Anatakiwa ku-stop huyo ambae alidandia treni kwa mbele ambae, hata baada ya kuambiwa kila kitu lakini bado zigo la post anajitwisha yeye!!
hela huwa hazitoshiNimesitisha maombi, Nina hela now....
Haya mkuu samahani kwa kukukwazaNakuambia hivi, ungejua source ya hiyo message mwenyewe ungeona aibu... in short unajichoresha jombaa! Kwenye post nimekuandikia: "My respect kwa huyo uliyem-quote siwezi kukuambia msingi wa hiyo post uliyo-quote manake kama ungefahamu wala usingeandika ulichoandika" Ungekuwa smart enough ungejiuliza kwanini nimeandika hivyo matokeo yake, kama kawaida yako unaendelea kung'ang'ania treni uliyoiparamia kwa mbele! Labda nikukumbushe alichosema ambae nilimwandikia post:Mwenyewe kaielewa post na ameiona haina utata wewe ambae sio mlengwa umeshupalia... utofauti gani basi na hao akina Mwajuma?
At your best!Just don't cry mambo yakikuzidia, Cc Avemaria