CHEKA UPIGWE
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 252
- 176
Daaaah.
Nimetatizika kwa kweli.
No Comments.
Nimetatizika kwa kweli.
No Comments.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu ni mtoto wa Mtikila nini????
[emoji134] [emoji134] punga !! Anyway nshabadilishaPunga huyo mkuu halafu kutokana na jina lako lilivyo na swaga poa ungeweka picha ya binti mrembo
Umewaza mbali mkuuNakushauri pia ubadilishe avatar ili uweze kueleweka na jamii na kututoa was was wana nchi wenzio
Waooo!! U look beautiful
Ila mkuu naskia na huyo ulomueka pia punga[emoji12] [emoji12] [emoji12]Punga huyo mkuu halafu kutokana na jina lako lilivyo na swaga poa ungeweka picha ya binti mrembo
Athanteee hapo mambo frex sasa naweza hata kukuchum[emoji134] [emoji134] punga !! Anyway nshabadilisha
Hapana Wentworth wana mzingishia tu hana tabia hizo kabisaIla mkuu naskia na huyo ulomueka pia punga[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ndo maana huwa siamini kama Mzee Abdul ni baba halis wa mond why amchukie vileyani ukichokoza kidogo utaletewa ushahidi adi kuwa mama yako alizaa nje ya ndoa
Sifuatilii mambo haya lakini niliwahi sikia wimbo mmoja akiimba eti "kuchapiwa ni siri ya ndani" sasa nini ajabu!?Hivi vitu kama mwanaume nafikiri vinauma sana hasa pale unaposikia watu wananong'ona ati mtoto sio wako..
Sasa hapa wanatangaza kabisa mtandaoni.. Inauma sana!
Ukweli wa yote wanaujua diamond na mkewe!
Bado ligi yenu inaendeleaHahahaha unajikataa aisee pole wee
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Umewaza mbali mkuu
Hee Mbona povu zito hivyo, hebu tia maji kidogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamani mtoro kapata rapa wake kwani vipaya
Bado ligi yenu inaendelea
Hahaaaaa kweli mm natoka shamba sikatai ndio kwetu.Nimetaman kukujibu lakin nimekuona mshamba flan hivi
Si ndio hapo,watu huku wanahangaikaaaaa na wkt wazazi kule ni burudani tu.Kaazi kweli kweli, pressure mnayo huku, kule Madale wazazi na watoto wao wawili ni happy happy tu.