DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Alkua mchekeshajj Sana,Nasikia huyu raisi wa Ukraine alikuwa comedian
Jana katoa kibwagizo kingine kua anawapigia Simu viongozi 27 wa ulaya hawapokei Simu zake[emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alkua mchekeshajj Sana,Nasikia huyu raisi wa Ukraine alikuwa comedian
Unamsingizia,Putini ana mambo ya kizaramo!
Mkuu siangalii wala kufuatilia france 24, either nipe real photo kutoka france24 or maybe na wao wametoa nilipotoa mimi.Acha uzushi,
Ayo maandamano yametokea Spain Jana mchana.
(Hizo picha umechukua france24)
Russia Ni nchi ya kikomunisti,
Hakuna mbuzi anaweza thubutu kuandamana kipind hiki ambacho president Yuko na jazba isiyomithilika.
Ni sawa na kusema wananchi wa North Korea wameandamana, UTakua unachekesha umma mkuu[emoji2]
Acha uzushi,
Ayo maandamano yametokea Spain Jana mchana.
(Hizo picha umechukua france24)
Russia Ni nchi ya kikomunisti,
Hakuna mbuzi anaweza thubutu kuandamana kipind hiki ambacho president Yuko na jazba isiyomithilika.
Ni sawa na kusema wananchi wa North Korea wameandamana, UTakua unachekesha umma mkuu[emoji2]
lijaaa lipo serious sanaView attachment 2131298Ras putin akiangalia camera
ana wazoom tuEti Assets za Putin zitazuiliwa. Hv mnafikiri Babu boya?
Kaa kimya unapotoshaMkuu siangalii wala kufuatilia france 24, either nipe real photo kutoka france24 or maybe na wao wametoa nilipotoa mimi.
Vilevile hujui siasa kutoka nchi za kikomunisti, usifanye watu wakanuna.
Sorry.
Poleni mods
Unganisheni threads tu
Vita yenyewe haituhusu
Tungekua this interested na rights za waafrika, drc ingekua super power
Maskini kids [emoji24][emoji24][emoji24]Wadau habari picha usadikisha kwa uhalisia wa tukio m, ruksa kutupia picha matukio ili tujifunze.
View attachment 2131266
[emoji1483] Mamia ya wananchi wa mji wa Kyiv wakiwa kituo cha gari moshi kusubiri usafiri kuwatoa jijini hapo.
View attachment 2131263
[emoji1483] Mizinga ya masafa mafupi iliyopigwa kuelekea mpaka wa Ukraine.
View attachment 2131267
[emoji1483] Wananchi wakipiga moja ya roketi iliyotunguliwa na majeshi ya Ukraine mapema jana.
View attachment 2131268
[emoji1483] Majeshi ya Urusi yakivuka mpaka upande wa Ukraine.
View attachment 2131274
[emoji1483] Sehemu ya wanajeshi wa Ukraine ambao walikuwa katikati ya mji mkuu wakijaribu kuweka usalama kwa raia waliokuwa kituo cha gari moshi jijini Kyiv.
View attachment 2131275
[emoji1483]Familia nyingi zimekuwa zikiondoka Ukraine na kuelekea nchi jirani ya Poland kuepa vita.
View attachment 2131272
[emoji1483] Wanawake na watoto wa wanaondoka Ukraine baada ya kuvuka mpaka wa Slovakia na Ukrain.
View attachment 2131270
Huyu anatuona mafala kutudanganyaHizo picha sio za Russia, zmetokea Spain uko ndo diaspora wanaandamana.
Hakuna mwenye ubavu wa kuandamana kwny ardhi ya putin, Hilo ni tango pori[emoji4]
View attachment 2131298Ras putin akiangalia camera
Acha roho ya uzandiki kumtaja MD kwenye vitu vidogo kama hivi.
It’s just another similar threadAcha roho ya uzandiki kumtaja MD kwenye vitu vidogo kama hivi.
Before you call his, hii thread ina tofauti na hizo unazotaka hii iunganishwe first, mada hii inatoa habari kwa mtindo wa picha tu that why unaona hata wachangiaji siyo wengi kama kule.
Nimeandika mapema kabla kuomba uzi huu usiunganishwe na zile nyingine na hata sasa uzi huu upo jukwaa tofauti na hayo mmengine although is full of correspondent story from front line photo journalist.
So kuwa mpole.