It’s just another similar thread
Nothing unique
Loads of crappy speculations tu
Grow up
Go to the prime threadView attachment 2132281
UPDATE:
👉🏾 Kyiv imebadilishwa kuwa uwanja wa vita na muda huu majeshi ya urusi yapo mile 6 kutoka makao makuu ya Ukraine 🇺🇦.
Let us watch every happen through images.
Man I'm not selfish aah, and i saw that thread and was missed some serious information and so.LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Yupo sahihi, mwanaume alikua ni JPM tu Wewe ulikuwa ni mwanamke?www.jamiiforums.com
This is the proper thread… updates minute per minute
Mkuu dugu zetu 'waafrika' wana nyanyapaliwa sana huko, hawapewi nafasi kuvuka mpaka au kupanda train wanaambiwa wao watakuwa wa mwisho kuvuka au kuondoka, nini tunafanya hapa?.Haya sasa wanawake na watoto wameruhusiwa kuondoka kukwepa vita, wanaume wameambiwa wabaki kwa ajili ya kusaidia mapambano, kazi kwa mashoga hawajui wafanye nini waondoke au wabaki