Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
NDo maana anajinenepea, mambo ya kukaa na vitu rohoni hanaga kabisaa
hahaaaaa Zma ndio maana hanenepi.... we patia picha hadi Dina Marios
alikorofishana nae.. ana roho ya kwanini.........
akiwa kwenye interview full kuwachimba watu maswali ye akiulizwa
we anakuwaje mkali kama pilipili kichaa.........., hasa umuulize swala la baba