PICHA: Wabunge wakishiriki shindano la kula kwenye Bunge Bonanza 2025

Nchi hiii!!!!!!!!!
Bungenu kuna kundi la wapumbavu wanaoitwa wawakilishi wa wananchi.
Sasa hayo mambo kweli relevance yake ni nini?
Huwez kuta ushenzi kama huo kwenye Congress au Dumas
 
Haya mambo kweli bado yanafanyika karne hii?!
Halafu taahira mwingine naye anaandika kabisa kuwa eti michezo ni afya!!

Kushindana kula ni mchezo wa kusaidia afya kweli!!??

CCM ina machawa ambao ushuzi wanaupa jina zuri la "manukato".
 
Kuna michezo mingine inare
Kuna michezo mingine inarefrect uwezo wa kiwango chako cha kufikiri.
kama kweli hao ni wabunge wa bunge letu,basi tutegemee uharibifu.Japo siamini kama ni waheshimiwa wabunge au ni wabunge.
 
Inachekesha;
Yaani wabunge badala washindane kuleta maendeleo jimboni wanashindana kula? Dah hii nchi Mungu tu asaidie!!!
 
Ooohh! Wabunge hawa walipaswa kusaidia watu wasio na chakula na sio kufanya ulafi wao mbele ya watu wenye njaa! Wote walioshiriki shindano hili la kishenzi wapigwe chini October.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…